elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
- Thread starter
- #41
faiza acha utani na biashara hii siyo siasa aiseeChukuwa million 2 Cash.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
faiza acha utani na biashara hii siyo siasa aiseeChukuwa million 2 Cash.
Ofcourse upo sahihii mkuusuzuki kei ni gari nzuri tu, me nimekuwa nayo kwa mwaka mmoja. nilitoka nayo dar hadi kigoma na haikusumbua. pia gharama zake za uendeshaji hususani mafuta ziko chini sana. kwa safari ya dar to kigoma nilitumia mafuta ya 150,000 tu
wanaume wengi ndicho wanachowazaDah we jamaa umenifanya nicomment hahahahaha ukadhani k papuchi??
hazina gharamaVp hizi spea ziko ghali au cheap mkuu
faiza acha utani na biashara hii siyo siasa aisee
ilo litakuwa jina tu ila ndani chaka chakaSifanyi utani, jana Mercedes Benz imenadiwa kwa million 7.5 hapa hapa JF.
Mkuu panda panda kidogoNina M 5.5 kama bado hipo tusasiliane. 0689411776.
Ipo mkuu fungukaHii gari bado ipo?
Private message mkuuSamahinini jamani naomba msaada wa kirefu cha neno pm ndo nimeingia Jf linanisumbua!!
Mkuu gari bado ipo?Naomba uni pmPrivate message mkuu
Mwambie hajielewi uyo mtufaiza acha utani na biashara hii siyo siasa aisee
Amina mkuuUnajua sana kufanya biashara mkuu, sauti yako ni nzuri na unavutia. Nimenunua juzi tu hadi natamani ninhelikiwa bado ninunue hii. Hizi gari ndogo hazina shida kabisa kwenye mafuta. Hakika nakutakia mafanikio uuze.
Mkuu acha tu Singida hata Rwanda kanatia timu kama dawa kama kawa full turboNaweza fikanako singida
Changa changa mkuu4. 5 nije nichukue