Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Yeah..hivo hivo..sivipend vileUnaongelea probox?
hizo gari hata mke wa mbuzi ataingia ili mradi tuUnapewa msaada unataka kuwa uhuru.
Pumbafu sana wezi wa wake za watu wanakuwa wanajiamini sana kizazi cha sasa!
Hata hiyo ni baya hatari ...sijui kwanini ina gharama kubwa vile...rip kanumbaHammer
Mmh sawa...😳😳unataka uhuru kwenye lift!!jombaa a you mad
😄😄
Nitakataa gari la kuchorwa na penseli..lkni hili ambalo ukiliwasha linalia chanyanyanyaaa cha nyanyaaaaa...,,,nalipokea kwa mikono yote
Utapokea au?Yani unipe gari nipokee kwamasikitiko hiyo haipo,,, ila kuna vi toyota BB hivo mtihani
Ndio ntaipokea tu ila ina shape mbaya sana bore hata ki porte ujue mojaUtapokea au?
Sasa hapo kuna raha gani..mkuuNdio ntaipokea tu ila ina shape mbaya sana bore hata ki porte ujue moja