Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

Wakuu. Tuache siasa na Mapenzi binafsi, haoa mtoa mada kakutajia magari manne ambayo yapo kwenye class tofauti. Mfano:

1. Crown Athlete
Hii ni sedan, ilitakiwa iweke group moja na wakina BMW 3 au 5 series, Nissan Fuga, Camry, Audi A5/4, etc.

Hii gari ya chini, na inafaa kwa misele ya mjini na highway, sio rafiki kwa mtu mwenye familia kubwa na ambae ana beba Sana mizigo kama chakula cha mifugo, bidhaa za dukani etc. Tuseme hii chuma ya vijana wa mjini, familia ndogo na misele mingi ya mjini na highway.

2. Mitsubishi Outlander
HIi ni SUV kubwa, inafaa kwa matumizi mbalimbali, na inafaa kwa familia ndogo na kubwa.

Wakati haupigii misele town, unaweza kubeba mizigo ya dukani. Kama mtu wa familia, kikosi kizima mnaingia na kusafiri popote.

3. Subaru Impreza 2013
Sijui kwanini hii umeiandika na mwaka wakati nyingine haujaandika. Ila hii itakua ni kwa kijana wa town, familia ndogo pia na barabara ziwe rafiki (kama crown).

4. Toyota Harrier
Hii SUV kubwa, kwahiyo ni nzuri kwa watu wenye familia kubwa na wanaotaka gari multipurpose.

Hitimisho:

Crown apambane na Impreza na kama unataka chuma ya multipurpose basi Harrier apambane na Outlander.
 
Wakuu. Tuache siasa na Mapenzi binafsi, haoa mtoa mada kakutajia magari manne ambayo yapo kwenye class tofauti. Mfano:

1. Crown Athlete
Hii ni sedan, ilitakiwa iweke group moja na wakina BMW 3 au 5 series, Nissan Fuga, Camry, Audi A5/4, etc.

Hii gari ya chini, na inafaa kwa misele ya mjini na highway, sio rafiki kwa mtu mwenye familia kubwa na ambae ana beba Sana mizigo kama chakula cha mifugo, bidhaa za dukani etc. Tuseme hii chuma ya vijana wa mjini, familia ndogo na misele mingi ya mjini na highway.

2. Mitsubishi Outlander
HIi ni SUV kubwa, inafaa kwa matumizi mbalimbali, na inafaa kwa familia ndogo na kubwa.

Wakati haupigii misele town, unaweza kubeba mizigo ya dukani. Kama mtu wa familia, kikosi kizima mnaingia na kusafiri popote.

3. Subaru Impreza 2013
Sijui kwanini hii umeiandika na mwaka wakati nyingine haujaandika. Ila hii itakua ni kwa kijana wa town, familia ndogo pia na barabara ziwe rafiki (kama crown).

4. Toyota Harrier
Hii SUV kubwa, kwahiyo ni nzuri kwa watu wenye familia kubwa na wanaotaka gari multipurpose.

Hitimisho:

Crown apambane na Impreza na kama unataka chuma ya multipurpose basi Harrier apambane na Outlander.
Mie ningemshauri nje ya hizo gari alizotaja kupata COMBINE nzuri avute Subaru Forester..

Itampa nguvu.. Looks etc..

Harrier naona ni gari ya kike/kizee pia maybe new model ambayo huyu mtoa mada na uhakika hela ya kuinunua hana.. na kama angetaka hiyo ningemshauri avute range rover Sport ile kipisi..
 
Wakuu. Tuache siasa na Mapenzi binafsi, haoa mtoa mada kakutajia magari manne ambayo yapo kwenye class tofauti. Mfano:

1. Crown Athlete
Hii ni sedan, ilitakiwa iweke group moja na wakina BMW 3 au 5 series, Nissan Fuga, Camry, Audi A5/4, etc.

Hii gari ya chini, na inafaa kwa misele ya mjini na highway, sio rafiki kwa mtu mwenye familia kubwa na ambae ana beba Sana mizigo kama chakula cha mifugo, bidhaa za dukani etc. Tuseme hii chuma ya vijana wa mjini, familia ndogo na misele mingi ya mjini na highway.

2. Mitsubishi Outlander
HIi ni SUV kubwa, inafaa kwa matumizi mbalimbali, na inafaa kwa familia ndogo na kubwa.

Wakati haupigii misele town, unaweza kubeba mizigo ya dukani. Kama mtu wa familia, kikosi kizima mnaingia na kusafiri popote.

3. Subaru Impreza 2013
Sijui kwanini hii umeiandika na mwaka wakati nyingine haujaandika. Ila hii itakua ni kwa kijana wa town, familia ndogo pia na barabara ziwe rafiki (kama crown).

4. Toyota Harrier
Hii SUV kubwa, kwahiyo ni nzuri kwa watu wenye familia kubwa na wanaotaka gari multipurpose.

Hitimisho:

Crown apambane na Impreza na kama unataka chuma ya multipurpose basi Harrier apambane na Outlander.
Shukrani maelezo niliyokua nataka ni kama haya sema hujagusia upande durability na spare parts ipi ina changamoto sana na ya kukwepa kwa mtu anayeanza kumiliki ndiga
 
Naona ni mda wa kuachana na Carina Ti nihamie premio new model .
 
Yote mabomu hayo yaliyokuwa yanangoja kupelekwa scrap Japan.

Nakushauri agiza gari mpa kabisa ya umeme kutoa China, kwa gharama hiyo hiyo ya magari waliyokwisha yajambia wajapani.
mkuu hebu tupia abc ya hizo gari za umeme zikoje mambo ya spea na uimara wake na bei
 
mkuu hebu tupia abc ya hizo gari za umeme zikoje mambo ya spea na uimara wake na bei
Spare siku hizi usiulize, hata kama hakuna Tanzania unaagiza ndani ya wiki moja zinakuwa kwako.

Uimara inategemea unataka gari kuendea wapi? Kila gari na matumizi yake na gaharama zake. Mfuko wako tu.

Unaweza ku google ukapata information zote.

Anzia hapa, ujionee:


View: https://www.youtube.com/watch?v=rvBjaeeG9s0
 
Yote mabomu hayo yaliyokuwa yanangoja kupelekwa scrap Japan.

Nakushauri agiza gari mpya kabisa ya umeme kutoa China, kwa gharama hiyo hiyo ya magari waliyokwisha yajambia wajapani.
Nisaidie hapo kwenye ubomu nifahamu ni kwenye kitu gani kwa kila gari ili tufanye comparison vizuri. Na mfano wa gari ipi ya umeme kutoka China ni bora tofauti na izo
 
Back
Top Bottom