Gari gani ninunue kati ya Nissan Fuga, Toyota crown na Mark X?

Gari gani ninunue kati ya Nissan Fuga, Toyota crown na Mark X?

Kuna NISSAN SKYLINE
Hii hapa mkuu, kaa humu au kwenye fuga...
BF707476_0a9dee.jpg
BF618378_984e08.jpg
BF618378_a54023.jpg
 
You do not care about safety, braking na handling?

Mnapoangalia 0-100kmph time mkumbuke na 100-0kmph time. Do not drive faster than you can stop.
Hapo sasa itabidi aende Germany anyakue C 200 au C 180 compressor cc 1790 , achana kabisa na Mercedes Benz....tuendelee kupambana mjerumani kwenye gari habari nyingine....
 
Hapo sasa itabidi aende Germany anyakue C 200 au C 180 compressor cc 1790 , achana kabisa na Mercedes Benz....tuendelee kupambana mjerumani kwenye gari habari nyingine....
Hii compressor cc 1790 mkuu... ni moto hataree
BF767976_94ddc6.jpg
BF767976_8860fc.jpg
 
Nimeona Magari yafuatayo.
NISSAN FUGA
TOYOTA CROWN
MARK X

Naomba ushauri. Je Gari lipi kati ya Hayo naweza kushauriwa kununua? Napanga kutumia gari hilo Arusha, and kwa safari kadhaa miko tofauti tofauti.

Msingi zaidi kwangu ni;
1. Performance---Speed.
2. Economy (Service, Spare parts, Fuel)
3. Durability
4. Comfort ability
HUWEZI PATA GARI KWA KUUNGA MISINGI YAKO YOTE na kupata kimoja. Ni sawa na ktaka kupata demu menye sifa zote utakazo, hiyo haipo mkuu
Must drop one and forgone the rest

NISSAN FUGA Kwa speed, durability na pia comfortability ni funga kazi huwezi linganisha na zingine hapo

TOYOTA CROWN na MARK X zinafanana kwa economy, na speed,

MARK X kwa comfortability yupo vizuri zaidi
 
HUWEZI PATA GARI KWA KUUNGA MISINGI YAKO YOTE na kupata kimoja. Ni sawa na ktaka kupata demu menye sifa zote utakazo, hiyo haipo mkuu
Must drop one and forgone the rest

NISSAN FUGA Kwa speed, durability na pia comfortability ni funga kazi huwezi linganisha na zingine hapo

TOYOTA CROWN na MARK X zinafanana kwa economy, na speed,

MARK X kwa comfortability yupo vizuri zaidi
Kwa hiyo Nissan fuga ni best
 
Back
Top Bottom