fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 3,042
- 2,221
Ukiitunza vzr,utaona hata hiyo gharama ni ndogoBei yake imechangamka haswa. Bila 20m TZS hujaipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiitunza vzr,utaona hata hiyo gharama ni ndogoBei yake imechangamka haswa. Bila 20m TZS hujaipata
Wapi naweza pata taarifa za huo mnada Mkuu?
bei yake haiwezi huyo. Royal tourRav 4 old model zile za 1998
Hizi Gari si hua zinakua tax exempted?Bei hapo itakua Kodi ya kukulipia hio gari Ni inclusive au exclusive?Nenda huko Kasulu - Kigoma, mwezi wa 5 na 7 shirika is kuhudumia wakimbizi (unhcr) watafanya mnada wa hizi gari zao za zamani.
Wee jipange tu vizuri coz bei za gari sio mbaya sana (it range btn 30M - 75M).
View attachment 2201898
Swali muhimu sana hiliHizi Gari si hua zinakua tax exempted?Bei hapo itakua Kodi ya kukulipia hio gari Ni inclusive au exclusive?
Hizo mbili za kwanza ni gari za uhakikaWaungwana naomba kuwasilisha hoja ni gari gani ni imara zaidi kwenye rough roads nataka kupigia kazi na kupenya maeneo sumbufu
Vanguard
Kluger
Harrier
X-trail
Tupe tarehe tukajaribu bahatiNenda huko Kasulu - Kigoma, mwezi wa 5 na 7 shirika is kuhudumia wakimbizi (unhcr) watafanya mnada wa hizi gari zao za zamani.
Wee jipange tu vizuri coz bei za gari sio mbaya sana (it range btn 30M - 75M).
View attachment 2201898
Tupe tarehe tukajaribu bahati
Hapo mbali na kununua gari andaa na Kodi unless usibafili hizo namba za UN/DFPHizi Gari si hua zinakua tax exempted?Bei hapo itakua Kodi ya kukulipia hio gari Ni inclusive au exclusive?
HujielewiKwa hizo pekee ulizotaja kluger ndo baba yao kweny roughroad hata mvua inyeshe chuma inatembea na pori, chonde chonde usijaribu harrier utajuta, na hizo xtrail ndo Vimeo kabisa hata za mjini ziko juu ya mawe
Usije ukajaribu nunua izo gari zilizo exempted utajuta iyo kodiHizi Gari si hua zinakua tax exempted?Bei hapo itakua Kodi ya kukulipia hio gari Ni inclusive au exclusive?
Ngoja nikunyamazie fala tu mmoja weweHujielewi
Level zako za bodaboda tuNgoja nikunyamazie fala tu mmoja wewe
Una mipasho balaa wahuni wanakulamba shingo niniLevel zako za bodaboda tu
Hiii gari utaichukia kwenye mpando tubei yake ikoje mkuu
JESUS IS LORD
How?Hiii gari utaichukia kwenye mpando tu
ka uzoefu wangu nissan y60 kweye tambarare utaipenda sana inatereza tiu ila sasa ukifika kwenye kilima hahaaaa utatamani ushukeHow?