OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #41
Chukua basi la abiria 65 mkuu,familia itafurahi.kanunue kwa Ngorika moja.
Wakuu wajuzi wa JF,
Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.
Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.
Nina bajeti ya Shs.8,000,000!
Asanteni wadau
Tofauti ni Engine capacity. Ti engine yake ni ndogo CC 1490 na SI Engine yake ni kubwa nadhani ni CC 2000.ni gari nzuri na imara, ti hailimafuta sana kama si but ti haifunguki kivile kama si,hasa katika safari zetu mbali ....
Chukua raumu n gari nzuri sana kwa familia na matumizi ya mafuta n chini cc 1490 muonekano n mzuri spear kila kona hupati shida
Mkuu tafuta Carina Ti. Huwezi kuamini niliweka full tank lita 50 kutoka moshi nimefika dar bado mafuta yapo juu ya robo tank. Ti ni cc 1490
Usije kununua carina Si
au achukue toyota sienta 7seat na ni cc 1290
au achukue toyota sienta 7seat na ni cc 1290
Kwa fuel consumtion kuna ist CC 1300 au Vitz new Model CC 990.haya yanasevu sana gharama za mafuta .
Ni kweli mkuu,pamoja na majina yote wanayoiita,NOAH nigari comfortable sana,pia ni imara kuliko maelezo,mimi ninayo kwa familia now it is 6 years,sijawahi kubadili spare yoyote zaidi ya service ya oil na kubadili tyre,imeisha piga masafa marefu mara kadhaa,pia inabeba mzigo mzito utadhani pick up.Honestly kama sio ufahari wa kujionyesha NOAH nigari bwanaMkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana