Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Gari gani poa ya ''kifamilia?''

chukua toyota WISH cc 1800 7 seat kama noah, iko poa saana, na show yake inamauzo.
 
Wakuu wajuzi wa JF,

Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.

Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.

Nina bajeti ya Shs.8,000,000!

Asanteni wadau

Tafuta Mikokoteni Mkuu Itakufaa................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
naombeni msada jamani. tumiagiza TOYOTA NOAH toka japani. sasa hii ni mara kwanza kuagiza. naombeni msada anae jua jinsi ya kutowa bandarini na maswala ya TRA. gari ni ya mwaka 2005 ina cc 2000.
 
.ni gari nzuri na imara, ti hailimafuta sana kama si but ti haifunguki kivile kama si,hasa katika safari zetu mbali ....
Tofauti ni Engine capacity. Ti engine yake ni ndogo CC 1490 na SI Engine yake ni kubwa nadhani ni CC 2000
 
Chukua raumu n gari nzuri sana kwa familia na matumizi ya mafuta n chini cc 1490 muonekano n mzuri spear kila kona hupati shida
 
Chukua raumu n gari nzuri sana kwa familia na matumizi ya mafuta n chini cc 1490 muonekano n mzuri spear kila kona hupati shida

au achukue toyota sienta 7seat na ni cc 1290
 
tafuta trekta, ni poa sana maana hata safar za shamban utaenda nalo bila kujali mvua, matope na jua.
 
Mkuu tafuta Carina Ti. Huwezi kuamini niliweka full tank lita 50 kutoka moshi nimefika dar bado mafuta yapo juu ya robo tank. Ti ni cc 1490
Usije kununua carina Si

kwakweli kwa mtu anaetak agari safi,standard na ina hadhi na carina Ti...ina consumption ndogo kuliko hata iyo 1490 wanayoitaja....
 
Wakuu vits new model ni moja kati ya magari ya toyota yenye technical faults, so yanarudishwa kiwandani
 
Kwa familia na bajeti yako chukua Nissan X-trail.
2004_nissan_x_trail_4x4_at_x_version_96635403195115846.jpg
 
The Toyota Sienta is a
small five-door minivan
with sliding doors sold
only in Japan. Introduced
in September 2003,
 
Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana
Ni kweli mkuu,pamoja na majina yote wanayoiita,NOAH nigari comfortable sana,pia ni imara kuliko maelezo,mimi ninayo kwa familia now it is 6 years,sijawahi kubadili spare yoyote zaidi ya service ya oil na kubadili tyre,imeisha piga masafa marefu mara kadhaa,pia inabeba mzigo mzito utadhani pick up.Honestly kama sio ufahari wa kujionyesha NOAH nigari bwana
 
Back
Top Bottom