Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Jamani Vipi Kuhusu Hizi Aina Za Gari Hapa ..

Honda FIT
Mazda Verrisa

Spare Zake na Hapa Bongo Zipoje Maana Naona Watu wengi Ni Toyota Tu
 
Mkuu, kama kilio chako ni mafuta tafuta Kei cars. Zina cc 660 tu. Mfano Suzuki Jimny, Suzuki Kei and the likes...
 
Mkuu tafuta gari moja inaitwa Toyota Probox ni family car na ina nafasi kubwa,fuel consumption utachekelea,nilikua na safari ya mtwara tena ya haraka kupitia dar nilijaza ful tank lita 50 njombe nilitembea nayo hadi nangurukuru lindi tena full Ac na mwendo wa speed 160/150 per hour,ipo imara sanaa na spare zake ina share na stalet na spacio,hiyo niliazima nilipotoka safari nilipitiliza kuagiza ya kwangu

Inabidi ushitakiwe kwa kutaka kujiua, speed ya 160km/hr kwa barabara za tz????
 
Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana
Mkuu Pokea huu ushauri kama bado hujanyaka ndinga
 
Mkuu tafuta gari moja inaitwa Toyota Probox ni family car na ina nafasi kubwa,fuel consumption utachekelea,nilikua na safari ya mtwara tena ya haraka kupitia dar nilijaza ful tank lita 50 njombe nilitembea nayo hadi nangurukuru lindi tena full Ac na mwendo wa speed 160/150 per hour,ipo imara sanaa na spare zake ina share na stalet na spacio,hiyo niliazima nilipotoka safari nilipitiliza kuagiza ya kwangu
Hili la kuzingatia sema lile gari ipo kama jeneza[emoji23][emoji23]
 
Kama familia kubwa nunua toyota wish cc 1800 vvti engine. Mm kwa sasa nimeagiza corolla axio 1500cc CVT engine hizo za 4AT nimezipa kisogo kwanza. Tatizo wabongo na cc hatutak kujaribu mambo mapya kila cku kuigana tu
Umeamua Kuonyesha ubabe kwa CVT ila sidhani kama Mafundi wetu wabongo aina hizi za engine wana ujanja nazo saaana
 
Jamani Vipi Kuhusu Hizi Aina Za Gari Hapa ..

Honda FIT
Mazda Verrisa

Spare Zake na Hapa Bongo Zipoje Maana Naona Watu wengi Ni Toyota Tu
Ukiona hazina ushabiki ujue vifaa vyake changamoto na hizi FIT hazina balance ya kutosha na Miguu handle zake bomu
 
Umeamua Kuonyesha ubabe kwa CVT ila sidhani kama Mafundi wetu wabongo aina hizi za engine wana ujanja nazo saaana

Hayo mambo ya mafundi wetu yalishapitwa na wakati. Yaani tusitumie vitu vizur kisa mafundi wetu vi.la.za. Hapana mm nimeamua na nadhan mambo yataenda poa
 
Hayo mambo ya mafundi wetu yalishapitwa na wakati. Yaani tusitumie vitu vizur kisa mafundi wetu vi.la.za. Hapana mm nimeamua na nadhan mambo yataenda poa
Kweeeeeeli[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkuu Extrovert hiyo gari ulaji wake wa mafuta upoje? Pia bei kwa showroom ni shs ngapi na kwa kumvua mtu yaweza kuwa shs ngapi?
 
Back
Top Bottom