Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Nilishalitolea Ufafanuzi, Nikamwambia Akiona SR50 Aliogope Maana Ni 4wd, Pia Nilimwambia Zinakula Mafuta Zaidi Na Diff Zake Zinasumbua Na Mafundi Wetu Bado Wanapatashida Kuzikarabati

Hakuna kitu kama hicho, hizo ni taboos tu...tofauti ya 2wd na 4wd ni ndogo sana kwenye mafuta almost ni 0.5km. mfano gari ya 2wd kama inaweza kwenda km9 kwa lita yenyewe itaenda 8.5km kwa lita, kuhusu kusumbua diff ni kutojali gari na kuifanyia service kwa wakati sio kwa sababu eti ni 4wd...Kama fundi hajui kutengeneza gari usiitoe kasoro gari
 
Hakuna kitu kama hicho, hizo ni taboos tu...tofauti ya 2wd na 4wd ni ndogo sana kwenye mafuta almost ni 0.5km. mfano gari ya 2wd kama inaweza kwenda km9 kwa lita yenyewe itaenda 8.5km kwa lita, kuhusu kusumbua diff ni kutojali gari na kuifanyia service kwa wakati sio kwa sababu eti ni 4wd...Kama fundi hajui kutengeneza gari usiitoe kasoro gari
Nimetumia Gati Zote Za 4 Na 2wd Ulaji Mafuta Una Tofauti Ya Kutosha Sio Kama Unaotaka Kutuaminisha Hapa, Hilo La Hilo la Diff Kusumbua Ni Kweli Inawezekana Ukawa Uko Right Lakini Bado Naona Wengi Wanalalamika Tatizo Hilo
 
Sasa wakuu ni gari gani ndogo yakijanja ambayo iko juu na ulaji wake wa mafuta ni wakawaida sanaa?
 
Gari ya kifamilia nunua toyota Alpha yenye engine 2AZ hiyo ni nzuri kama utapata ambalo odometer ni chini ya laki.
 
Wakuu wajuzi wa JF,

Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.

Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.

Nina bajeti ya Shs.8,000,000!

Asanteni wadau
Kwa gari nzuri na imara za kifamilia, chukua hii ... Liteace noah inauzwa
 
Hakuna kitu kama hicho, hizo ni taboos tu...tofauti ya 2wd na 4wd ni ndogo sana kwenye mafuta almost ni 0.5km. mfano gari ya 2wd kama inaweza kwenda km9 kwa lita yenyewe itaenda 8.5km kwa lita, kuhusu kusumbua diff ni kutojali gari na kuifanyia service kwa wakati sio kwa sababu eti ni 4wd...Kama fundi hajui kutengeneza gari usiitoe kasoro gari
Waende Garage za uhakika sio zile za magumashi
 
Inategemea ukubwa wa familia yako mkuu.
Kama family members wanazidi wanne basi Noah 1999 saizi yako lakini kama ni ya kizungu IST/Vitz zina ulaji mzuri sana wa mafuta.....spacio pia si mbaya
 
Back
Top Bottom