devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 268
- 370
- Thread starter
- #21
Hivi Suzuki kei ni gari imara kweli????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan ukaiacha IST nembo ya taifa [emoji23][emoji23][emoji23]List ya magari bora ya muda wote kwa Mtanzania:
1.RAV4
2.Toyota Kluger
3.Honda CR-V
4.Subaru Forester
5.Suzuki escudo
6.Toyota Cami
7.Suzuki Kei
8.Suzuki Swift
9.Nissan X Trail
10.Terios kid
11.Harrier
12.Toyota Vanguard
13.
NB:Hizo namba hazionyeshi wala kumaanisha umuhimu wa gari,ni list tu.
IST ni uchafu wa Taifa! Heri niendeshe Terios Kid kuliko IST.Yaaan ukaiacha IST nembo ya taifa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nataka feedback ya kile kiti. Subaru Forester ni bonge la gari ila sasa changamoto ni kile kiti cha dereva.Nilipiga chini. Route zangu za hapa mjini nimeamua kubaki na Passo yangu nyeusi vioo tinted.
[emoji23][emoji23]Umesikia dogo.
Mshikaji anahitaji kujua gari ipi ya kuanza nayo maisha itamfaa kutokana na kipato chake.
Hajasema tumshauri either anunue gari au asinunue. Akinunua akaona linamshinda si ataliuza tu?
Jamaa naona maneno mengiiii!!!! Wabongo hao banaaa kazi Yao kubwa ni kutishana Tu maishani.Umesikia dogo.
Mshikaji anahitaji kujua gari ipi ya kuanza nayo maisha itamfaa kutokana na kipato chake.
Hajasema tumshauri either anunue gari au asinunue. Akinunua akaona linamshinda si ataliuza tu?
Mkuu hapo Kwenye namba 6, 7 na 8 ondoa na uweke Magari haya...List ya magari bora ya muda wote kwa Mtanzania:
1.RAV4
2.Toyota Kluger
3.Honda CR-V
4.Subaru Forester
5.Suzuki escudo
6.Toyota Cami
7.Suzuki Kei
8.Suzuki Swift
9.Nissan X Trail
10.Terios kid
11.Harrier
12.Toyota Vanguard
13.
NB:Hizo namba hazionyeshi wala kumaanisha umuhimu wa gari,ni list tu.
Ongeza list ili mdau apate gari.
Mkuu mimi siyo mpenzi wa Sedan wala hatchbacks. Mimi ni mpenzi wa SUV mid-size,SUV crossovers pamoja na SUV mini.Mkuu hapo Kwenye namba 6,7 na 8 ondoa na uweke Magari haya...
Toyota Carina Ti
Toyota raum na Toyota IST
Pamoja mkuuMkuu mimi siyo mpenzi wa Sedan wala hatchbacks.Mimi ni mpenzi wa SUV mid-size,SUV crossovers pamoja na SUV mini.
Jaribu altezzaWakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
AltoList ya magari bora ya muda wote kwa Mtanzania:
1.RAV4
2.Toyota Kluger
3.Honda CR-V
4.Subaru Forester
5.Suzuki escudo
6.Toyota Cami
7.Suzuki Kei
8.Suzuki Swift
9.Nissan X Trail
10.Terios kid
11.Harrier
12.Toyota Vanguard
13.
NB:Hizo namba hazionyeshi wala kumaanisha umuhimu wa gari,ni list tu.
Ongeza list ili mdau apate gari.
Kwa kipato hichoWakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Gari ni liability kama hauna necessary and stable financial resouces. I wont advise you to venture into that. Invest to diversify and increae your income stream. Baadae utajikuta tu unanunua gari kama kifaa cha lazima cha kufanyia shughuli zako
Escudo za zamani ni ngumu sana kuzipata siku hizi. Na ukibahatisha be forward bei inakua imechangamka balaaChukua CHUMA linaitwa Suzuki vitara Utakuja kunishukuru
Basi usingeandika "List ya magari bora ya muda wote kwa Mtanzania" bali ungeandika kuwa hiyo ni List ya magari bora ya muda wote ~BehaviouristMkuu mimi siyo mpenzi wa Sedan wala hatchbacks.Mimi ni mpenzi wa SUV mid-size,SUV crossovers pamoja na SUV mini.
Tafuta Toyota succeed au Toyota pro box ni gari imara Sana.Wakuu habari,
Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.
Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Nilitaka kusema hivyo pia; kasema kipato chake ni Tsh 400k kwa mwezi; ukweli sioni kama ni deal kwake kua na gari, afanye mambo mengineGari ni liability kama hauna necessary and stable financial resouces. I wont advise you to venture into that. Invest to diversify and increae your income stream. Baadae utajikuta tu unanunua gari kama kifaa cha lazima cha kufanyia shughuli zako