Ignas mgaya Member Joined Jul 17, 2017 Posts 7 Reaction score 1 Mar 24, 2024 #1 Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
Bob junior Serengeti Member Joined Mar 25, 2023 Posts 74 Reaction score 255 Mar 24, 2024 #2 Jad Ignas mgaya said: Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili) View attachment 2943582 Click to expand... Jaribu kucheki battery kama lipo poa au alternator inawezekana kuwa na shida pia
Jad Ignas mgaya said: Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili) View attachment 2943582 Click to expand... Jaribu kucheki battery kama lipo poa au alternator inawezekana kuwa na shida pia
Kichuguu Platinum Member Joined Oct 11, 2006 Posts 17,048 Reaction score 22,790 Mar 24, 2024 #3 Hujatoa taarifa za kutosha kusaidiwa. Taa hizo huwaka kwa gari lolote linapowekewa ufunguo
Trubarg JF-Expert Member Joined Jan 8, 2020 Posts 4,388 Reaction score 7,223 Mar 24, 2024 #4 Battery imekufa