Gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari

Ignas mgaya

Member
Joined
Jul 17, 2017
Posts
7
Reaction score
1
Habari zenu,

Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
 
Hujatoa taarifa za kutosha kusaidiwa. Taa hizo huwaka kwa gari lolote linapowekewa ufunguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…