Gari inashtuka nikikanyaga mafuta baada ya kusimama

Gari inashtuka nikikanyaga mafuta baada ya kusimama

Kwamaelezo hapo juu ya wadau wawili tofauti yawezekana shida ipo kwenye gearbox.kwanza hiyo gari nahisi inatumia CVT gearbox je huwa unaweka hydrolic ya aina gani??.

Kwa maelezo yenu shida ipo hivi inaonekana kama kuna sehem kwenye gearbox kupo loose kama sio clutch basi kuna diaphram au seal zitakuwa zimekauka so zinasababisha kuloose pressure au waweza sema chujio limechafuka..

So unapoweka gear kuna kuwa na utofauti kati ya mzunguko wa engine na gearbox..yaani ni sawa na gari ya manually ukaweka gear harafu ukakanyaga clutch ukaweka number 1 badala ya kuachia clutch mdogo mdogo ww ukaachia full kwa mara moja lazima gari itastuka..ndio kinachotokea hapo.au kama gari diffu ikiwa bovo au ikiwa na play lazima ukiweka gia inastuka..natamani ningeiona hiyo gari ningekwambia shida ni nn??.au kama unaweza piga jeki harafu angalia kama kuna play kwenye vikombe vya kwenye gearbox..piga jeki weka p harafu chezesha tairi mbleye nyuma uone kama ina play
Kweli wewe ni mtaalam
 
Mkuu za siku yangu mimi kuna muda nikiiwasha ukikanyaga moto hairespond hapo hapo baada ya muda kama sekunde 10 hivi ndo inakubali shida ni nini?ipsum vvti
Kwamaelezo hapo juu ya wadau wawili tofauti yawezekana shida ipo kwenye gearbox.kwanza hiyo gari nahisi inatumia CVT gearbox je huwa unaweka hydrolic ya aina gani??.

Kwa maelezo yenu shida ipo hivi inaonekana kama kuna sehem kwenye gearbox kupo loose kama sio clutch basi kuna diaphram au seal zitakuwa zimekauka so zinasababisha kuloose pressure au waweza sema chujio limechafuka..

So unapoweka gear kuna kuwa na utofauti kati ya mzunguko wa engine na gearbox..yaani ni sawa na gari ya manually ukaweka gear harafu ukakanyaga clutch ukaweka number 1 badala ya kuachia clutch mdogo mdogo ww ukaachia full kwa mara moja lazima gari itastuka..ndio kinachotokea hapo.au kama gari diffu ikiwa bovo au ikiwa na play lazima ukiweka gia inastuka..natamani ningeiona hiyo gari ningekwambia shida ni nn??.au kama unaweza piga jeki harafu angalia kama kuna play kwenye vikombe vya kwenye gearbox..piga jeki weka p harafu chezesha tairi mbleye nyuma uone kama ina play
 
Mafundi watakuharibia gari sio kila unayemkuta gereji ni Fundi hilo tatizo linaweza kuwa ni tatizo dogo sijui kufungua gear box unaweza kuzalisha tatizo jingine, sasa nikuulize umewahi kuosha Engine? Kama jibu ni ndio kuna baadhi hawajui kuosha Engine za magari hasa gari ya Petrol inahitaji umakini sio kila mtu anajua kuosha Engine,maji mara nyingi maji yakiingia kwenye plug yanaleta hilo tatizo peleka kwa Fundi aangalie plug zote kama ziko sawasawa,maana kama plug zinashindwa kuchoma mafuta sawasawa gari huwa inashtuka

Uko sahihi, niliwahi kuona gari ya jamaa ilikua ikifika mlimani inashtuka au akipanda tuta akimaliza wakati wa kuanza kuchanganya inashtuka, fundi akasema pampu ikafungwa fuel pampu mpya tatizo halikuisha lakini baadae plug zilipobadilishwa na tatizo likaisha..
 
Back
Top Bottom