Mafundi watakuharibia gari sio kila unayemkuta gereji ni Fundi hilo tatizo linaweza kuwa ni tatizo dogo sijui kufungua gear box unaweza kuzalisha tatizo jingine, sasa nikuulize umewahi kuosha Engine? Kama jibu ni ndio kuna baadhi hawajui kuosha Engine za magari hasa gari ya Petrol inahitaji umakini sio kila mtu anajua kuosha Engine,maji mara nyingi maji yakiingia kwenye plug yanaleta hilo tatizo peleka kwa Fundi aangalie plug zote kama ziko sawasawa,maana kama plug zinashindwa kuchoma mafuta sawasawa gari huwa inashtuka