coyyote
Member
- Aug 12, 2018
- 53
- 88
Habari wakuu, nna gari aina ya Toyota Ractis model ya 2006, tatizo lake ni kwamba kila nikisimama alafu nikakanyaga mafuta gari inashtuka kwanza alaf ndio itatembea, nimeshaenda kwa mafundi wawili lakini sijapata jibu la tatizo langu.
Kama kuna mtu mwenye uzoefu ama utaalamu wa tatizo kama ilo naomba msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna mtu mwenye uzoefu ama utaalamu wa tatizo kama ilo naomba msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app