wese lake hilo ukikurupuka utajua kwann ikulu hamna vyumba vya kupangisha.Hii ni kubwa kwa ile ni ya kibabe sana hii. Ukiwa na hii unatamba sawa na mwenye prado.
aise kumbe chuma lina average consumption.Ni 1 litre per 11.8 km
kabisa chiefYeah , watu wanaziongelea hizi gari na hawazifahamu.
Thubutu!Ni 1 litre per 11.8 km
Naona mnajjbishana wenyewe mnashangaa wenyewe!kabisa chief
kwanini chiefNaona mnajjbishana wenyewe mnashangaa wenyewe!
Kwenye browser zinaonekana, sijawahi kupata hilo tatizoHata kwenye browser hazionekani!!
Weka picha mojamoja kwenye comment