Car4Sale Gari inauzwa Mitsubishi Pajero (2004)

Car4Sale Gari inauzwa Mitsubishi Pajero (2004)

Kama nilivyosema awali ukitumia CC kidefine unywaji wa mafuta wa gari utakosea sana. Cc kubwa gari huwa inakula mafuta ila sasa itategemea.

Kuna gari CC ni 4,500 huko ila mafuta inatumia kidogo sana sababu zinakuwa na mota inayosaidia kurun engine so mafuta yanakwenda kidogo sana.

While kuna gari ni CC 2,500 tu ila inakula mafuta kama meli. Unaifahamu Nissan Fuga, Hammer, brevis etc.


Sasa kuna mtu ukimtajia Alphard au Harrier hatakuelewa ukimwambia inatembea km 26 kwa lita moja. Kitu ambacho hata passo au IST haifanyi so ni elimu tu.
Asante.
 
Hiyo Pajero ni hybrid?
So mfano kwenye hili ninalouza hapa. Ukiweka mafuta ya 50K una uhakika wa kutembea km 100+.

So kwa mfano mimi nakaa segerea pale ni kama Km14 kufika posta kule, so mafuta ya 50K nitaweza kutumia kwa siku zaidi ya 3 hadi 4 kwa trip ya kwenda na kurudi mara moja kwa siku.

So unaweza kuelewa namna ya fuel efficiency ya hii gari.
 
Hii gari ina muungurumo wa kibabe sana, na hata ikiwa na suspension za kawaida barabara mbovu ipo na comfortability kubwa
Imetengenezwa kwaajiri ya mazingira magumu kama yetu so ni deal nzuri sana.

Ni uchumi tu umekaa hovyo ningeichukua niikaifanyie make up ndani aaaah acha kabisa.

Siti zake zote ni umeme. Zina heater yaani ukienda mikoa kama Mbeya hii unatulia ndani unawasha button ya heater ya siti unakuwa kama upo pembeni ya moto unalala fresh.

Siti kulaza, kupeleka mbele, kurudisha nyuma, kuipandisha juu na kuishusha inafanya kwa button ya umeme hakuna manual hapo.
 
Brand: Mitsubishi Pajero
Manufactured year : 2004
Imported from : Japan
Engine capacity : 2,970 CC
Fuel type : petrol
Transmission : Automatic
Clean condition
Adroid radio
mileage 249,283 Km
Sports rims
Lights
tyres good condition
Full documents
Full ac[emoji3514]View attachment 2756884View attachment 2756885View attachment 2756888View attachment 2756886View attachment 2756887View attachment 2756889View attachment 2756890View attachment 2756891View attachment 2756892
Unaiuza Bure nn?
 
Kuna combination ya Factor kwann gari inywe mafuta mengi, nitakupa list ya sababu.

1. Air cleaner ikiwa chafu mafuta yataenda.
2. Spark plugs zikiwa hazifanyi kazi vizuri itaathiri eneo la mafuta.

3. Tairi zikiwa hazina upepo vizuri, mafuta yatalika.

4. Uendeshaji wako kama dereva ukiwa mtu wa kukanyaga accelerator pedal kwa nguvu sana tegemea mafuta kulika.

5. Kuweka oil ambayo sio sahihi inafanya mafuta kulika.

6. Nozzles zikiwa zimekaa vibaya kuna uwezekano zikatema mafuta mengi sana so mafuta yakalika.

Sababu ni nyingi sana huwezi tazama tu CC za gari kama kisababishi cha mafuta kulika kwa kasi.

4WD inakula mafuta ila kwa standard ya matumizi sio ile inakula kwa upotevu, No.

Jambo lingine unatakiwa kufahamu ni kuwa gari inaweza kuwa na Cc 4,500 ila ikawa inakwenda km nyingi kwa lita moja ya mafuta kushinda hata IST. Hii inatokana na technology inayotumika ngoja nikutumie kiambatanishi cha mfano hapo chini.

Nje ya madam

AHSANTE KWA SOMO ZURI
 
Back
Top Bottom