Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, kukata mzizi wa fitina NUNUA YOOTE mkuu
Vuta tu Helicopter uwe unapiga huko juu hakuna jam mkuu.ikiwezakana private jet 24bilioni unaimiliki mkuu
Sio kweliUmechagua gari nyiingi utazania mwanamke bwana..huna pesa za kununua hizo gari hata moja wapo
Mkuu kama unaishi na ndugu karibu waambie wakufunge kamba mapema, unakoelekea sio kuzuri, Hii itasaidia usianze kupiga watu na kuvunja vitu ovyo. Vilevile itawarahisishia wao kazi ya kukufiksha milembe ama Hosp ya vichaa ya karibu. Na ongea kwa experience kuna MTU alianza hivi kumbe uchizi ndio ulikuwa umeanza kukita mizizi na ni full mwehu sasa hivi. PooleHabar za wakat huu wakuu.Nimekuwa kwenye wakati mgumu kwa takribani miezi mitatu sasa hivi kuhusiana na swala la kuchagua gari nzuri ya kutembelea kati ya hizi ,Lexus Lx 570, toyota land cruiser v8 ,range rover vogue,range rover sport na range rover velar,naomba mawazo yenu yatakuwa na influence kubwa katika uamuzi wangu wa mwisho maana mimi nimeshindwa kabisa kuamua kila nikiamua naona nyingine ni nzuri zaidi,mke wangu na wanangu wawili wanapenda v8,ni nzuri lakini naona imezoeleka sana.karibuni kwa mchango.
Hahaah. Nimekukubali mzee..Aisee, kukata mzizi wa fitina NUNUA YOOTE mkuu
Hahaha, wivu ni mbaya sana .Mkuu kama unaishi na ndugu karibu waambie wakufunge kamba mapema, unakoelekea sio kuzuri, Hii itasaidia usianze kupiga watu na kuvunja vitu ovyo. Vilevile itawarahisishia wao kazi ya kukufiksha milembe ama Hosp ya vichaa ya karibu. Na ongea kwa experience kuna MTU alianza hivi kumbe uchizi ndio ulikuwa umeanza kukita mizizi na ni full mwehu sasa hivi. Poole
Aisee moja ya majibu yake ni hili kama ulilojibu lilikuwemo. Umenitisha kidogo. Ila poa ngoja tuoneHahaha, wivu ni mbaya sana .
Siitaji gari ndogo kwa sababu nna vitz tayar ya watoto kuendea shule.Sioni Toyota Starlet na Vitz hapo
we Alonga acha ujinga wakoHabar za wakat huu wakuu.Nimekuwa kwenye wakati mgumu kwa takribani miezi mitatu sasa hivi kuhusiana na swala la kuchagua gari nzuri ya kutembelea kati ya hizi ,Lexus Lx 570, toyota land cruiser v8 ,range rover vogue,range rover sport na range rover velar,naomba mawazo yenu yatakuwa na influence kubwa katika uamuzi wangu wa mwisho maana mimi nimeshindwa kabisa kuamua kila nikiamua naona nyingine ni nzuri zaidi,mke wangu na wanangu wawili wanapenda v8,ni nzuri lakini naona imezoeleka sana.karibuni kwa mchango.
Madam Op... yupo?Habar za wakat huu wakuu.Nimekuwa kwenye wakati mgumu kwa takribani miezi mitatu sasa hivi kuhusiana na swala la kuchagua gari nzuri ya kutembelea kati ya hizi ,Lexus Lx 570, toyota land cruiser v8 ,range rover vogue,range rover sport na range rover velar,naomba mawazo yenu yatakuwa na influence kubwa katika uamuzi wangu wa mwisho maana mimi nimeshindwa kabisa kuamua kila nikiamua naona nyingine ni nzuri zaidi,mke wangu na wanangu wawili wanapenda v8,ni nzuri lakini naona imezoeleka sana.karibuni kwa mchango.
Saa mbiliHivi vyuo vinafungua lini hawa watu waende kusoma [emoji848][emoji848]