Nimenunua hivi karibuni ya 2006. Nimefurahia sana comfort, pamoja na build quality. Bila ya shaka zina nguvu ya kutosheleza barabarani kiasi cha kwamba overtaking haikupi shida kabisa. Ila cha kushangaza zaidi ni kuwa matumizi ya mafuta ni wastani. Hayatofautiani na gari zenye engine za lita 2. Clearance ni nzuri sana kwa barabara zetu. Mashimo madogomadogo inafunika vizuri. Na engine ukiitunza ndio mnakwenda nayo mpaka kilomita laki tatu bila ya shida. Ina drive chain. Ktk gari niliowahi kuwa nazo(honda crv, nissan xtrail, na toyota 4runner)mi naona hii ndio best. Nimejaribu kukuekea links zenye specification ila nashindwa kwa ushamba...unaweza ukani pm for more info