Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 448
[B]Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Daudi Siasi alikanusha kuhusika kwa Chenge na kudai kuwa mwendesha pikipiki huyo alipinduka mwenyewe kutokana na mwendo mkali na hivyo kusababisha kifo chake.[/B][/QUOTE]
Hayo maneno yamenisikitisha sana sana sana. Yaani badala ya kuwa responsible na alichokifanya anasingizia ati marehemu amepinduka mwenyewe...........this is unbeliavable!!! Sikujua kuwa ufisadi unaweza kuondoa utu wa mtu na kuweka unyama ndani yake. Na hao polisi wanaotumika kuficha makosa ya ufisadi....... dhambi yao ni ile ile sawasawa na ya chenge na Mungu hatawaacha wapate amani kwa kudhulumu mali na maisha ya wanyonge wa TZ.