tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
hapa ndipo anaponichosha kuliko ujauzito unavyoweza kunichosha, kuna siku nilimskia eti anasema ''kigodoro cha jana kilikuwa kitamu, yani sidhani kama nitakaa nikose kwenye kigodoro''
hahahahahahaaa, sasa mimi inayonichefuaga na kama ujuavyo limao za siku hizi zimeanza kutoka fake baada ya soko lake kuongezeka kwa speed hivyo hazitulizi hichi ki hefuchefu, ni ile sauti ya kujibabisha kama jini mahaba.ptuyuuuuuuuuu!!!
mbona kinyonga alikuwa kwa zari??? hapa ndio na mimi sikuelewa
Ajajajajaaaaa,kilo moja inakaribia laki sasa!..lol
Van vicker asipopiga ntamdis....ha ha ha nataniaHahaaaa,hata sijui shoga.Si bado yupo Ghana?
acha roho mbaya toa support kwa miss tz 2006Mimi hata akiitoa leo siitaki.
Jana kuna picha aliiweka IG saa nane usiku, teampopo tupo macho ha ha ha sekunde tu akaitoa hata sikuiscreenshot ilikua na ujumbe wa ex....dai anamjambisha hadi basiMaendeleo yake ni kugawa papuchi!..lol
huyu kuchambwa ni halali yake amezidisha maisha ya location
Binadamu nyie ndo mnapenda kuyakuza angekuwa ameweka zingine tena hapo sawa.
Jana kuna picha aliiweka IG saa nane usiku, teampopo tupo macho ha ha ha sekunde tu akaitoa hata sikuiscreenshot ilikua na ujumbe wa ex....dai anamjambisha hadi basi
acha roho mbaya toa support kwa miss tz 2006
Gari mbili
Moja 56mil na la pili 36mil! Nyumba Ya kupanga lol
kama linakuchefua si ulirudishe kama una ubavu, kujishaua tu nfyuu
Mimi nasikia bado wanakutanaga kukumbushia enzi....
Mtalaka hatongozwi binamu,yetu macho.
Chege naye yumo eeh?
Yule bibi ana sauti nne!!kama kwaya ya ulyankuru,ukimkuta anavojibebisha kama jini mahaba utashangaa!!kuna ile ya kuongea na wanawake(ya pili),kuna ya tatu akilewa,kuna ya nne akiwa anawafanyia ukatili vijakazi!!Ni drama queen kabisaaa!!
Nyumba si ya kwake alinunua so alisema
mi nshasema huyu dada ana nyota tena kali anamashabiki yani hata akiuza yale machupi anayoyauza mbuta nanga atapata watejaNi wakati mgumuu kwa wasani kwakuwa watu hawanuni cd wanadownload au kukodisha so wasani wengi hawafaidiki na Kazi zao sio kama wakina Dämond na Show zao wanalipwaa yeye huyu dada anajulikana angeendorse cosmetics Produkts na Lifestyle products.
help ya nini jamani kwani ye si ndo kaacha, angeachwa hapo sawa....atulie tuShe Needs help kwakweli lakini Acha imumee kama mwenziye Penny alivyotaabika na kudharauliwa
Jana kuna picha aliiweka IG saa nane usiku, teampopo tupo macho ha ha ha sekunde tu akaitoa hata sikuiscreenshot ilikua na ujumbe wa ex....dai anamjambisha hadi basi