mtoa uzi yuko sahihi, alinunua na kumpigia simu diamond akiwa nje atume posts on social media ili ionekane kamnunulia manake kipindi hicho watu walikuwa wanaseme jamaa anamtumia hamsaidii lolote
huo ndio ukweli and by the way Diamond ndiye alikuwa anakula hela za wema haswa kununuliwa viatu na nguo
na hiyo murrano na bmw kahongwa na lile zee la TRA ambalo linataka kumfungulia duka la vipodozi na mini supermarket
hela za wadanganyika hizo zinachezewa
kwa zee la TRA,lilimpa na bmw pia plus duka la vipodozi na mini supermarket coming soon
Jamani chibu mwenyewe aliongea wema aliuza gari lake la pink na yeye akaongeza pesa kidogo sasa si mali ya wote
katoka china juzi kununua vitu vya boutique , hilo zee pia lilimpia kwenda ghana kucheza movie na van vicker akiwa na petit man ambaye huwa anamla kishikajiAsipofunguliwa hivyo vingine we utakuwa muhongo
Jamani ehee lile gari Wema alijinunulia
Then Diamond akatajwa ili aonekane kamzawadia Wema..hawa Jamaa Kwa sifa ni kiboko sasa hivi utaskia Wamerudiana tena
katoka china juzi kununua vitu vya boutique , hilo zee pia lilimpia kwenda ghana kucheza movie na van vicker akiwa na petit man ambaye huwa anamla kishikaji
kama unaamini hivyo basi amini hata ile nyumba aliyopangishiwa na CK aliinunua kwa milioni 400 kama alivyosema clouds tv.ile bmw ndo kajinunulia muranno katoa huyo diamond
kama unaamini hivyo basi amini hata ile nyumba aliyopangishiwa na CK aliinunua kwa milioni 400 kama alivyosema clouds tv.
unataka kujua kazi yangu ili iweje? mimi ni jobless masaa 24 utanikuta kwetu napiga umbea na kula kulala bure, kingine
hivi unafanya kazi gani inayokuingizia kipato
alafuuu naomba kuuliza kwa wanaomjua biubaya vizuri, hivi huyu bidada anasauti ngapi??? alikwisha bahatika kuskia sauti yake natural atanielewa, hii sauti anayoongelea kwenye media ni 100% made, fake fakizoni.