Linaonekana tu maana ni chafuDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
kama bei rahisi nioneshe watu waliyonayo bongo///hahahaha stop haitinDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Tecno ilopasuka jamankTumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Yaani nasoma nyuzi guku nacheka kwa hili ji u hahahahhhhNa wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Yaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.Mkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe
Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard
Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa
Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu
Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena
Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.
Peace n Out!!
Loser comment. Shida ya umasikini ndio hii ukishindwa kutafuta pesa usitafute sababu za kujifariji kwanini wengine wamefanikiwa. Hakuna hela za uchawi wewe komaa, acha chuki na ujifunze kwa waliotoboa na wewe utafanikiwaYaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.
Yaani tunasema mtumikie Lucifer ku enslave your own humanity naye anaku award by Power, Fame, and Money
Mkuu na wewe unashikwa kichwa kirahisi hivyo, ile picha wameichezea. Tyre zote kashata mpya kama ungeona video, na sio hako kapicha waliko kachezeaGari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?
Na bado zinaweza zote kuwa Alphard za mwaka mmoja na bei zikatofuatina kutokana na editionTumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Tyre sio used wame edit, angalia video ya ile gari ndio utajua wamechezea kale ka pichaMkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe
Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard
Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa
Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu
Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena
Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.
Peace n Out!!
Mkuu nimefollow akaunti zote za wcb ,familia nzima ya diamond,don fumbwe kwahiyo hadi gari inatoka kwenye kontena nimeona.ni gali kali,ila tairi zimenitia shaka kama ni 0 km.Mkuu na wewe unashikwa kichwa kirahisi hivyo, ile picha wameichezea. Tyre zote kashata mpya kama ungeona video, na sio hako kapicha waliko kachezea
Mie nimeangalia vizuri sana, ile picture wamw chezea, ile tyre pale imekanyaga vumbi, wamecheza nayo pale pale, ngoja nipige screenshort niweke uone mkuuMkuu nimefollow akaunti zote za wcb ,familia nzima ya diamond,don fumbwe kwahiyo hadi gari inatoka kwenye kontena nimeona.ni gali kali,ila tairi zimenitia shaka kama ni 0 km.
Tazama hii picha , alafu uniambia kama hiyo tyre used.. kama ni mtumiji wa tyre kama hizoMkuu nimefollow akaunti zote za wcb ,familia nzima ya diamond,don fumbwe kwahiyo hadi gari inatoka kwenye kontena nimeona.ni gali kali,ila tairi zimenitia shaka kama ni 0 km.
Tairi kipara 😂Tazama hii picha , alafu uniambia kama hiyo tyre used.. kama ni mtumiji wa tyre kama hizoView attachment 1855123
Mimi sio kwamba siwezi kumiliki hilo gari kama la sadala nyange,
Ila tu sipendagi matairi meusi..
[emoji124][emoji124][emoji124]
Nipo nawataftia bei
Tulia wewe Aristote nipo Dubai apa lete M300 nikutumie Rr na uhuru wake itakua 600
Na wewe umeshikwa akili na Mange ? Usiniangushe bwanaa weee.. hiyo tyre sio kipala washamba tu, tyre hizi zipo hivyo ila kwa mtu mgeni wa aina za tyre atasema kipara.. hiyo tyre mpya..Tairi kipara 😂