joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hata nikikwambia nina magari mia itakusaidia nini?Sasa wewe Una magari mangapi?!!...
Ili iweje?
Na kwa faida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nikikwambia nina magari mia itakusaidia nini?Sasa wewe Una magari mangapi?!!...
usiku wa Zuchu pale mlimani city walitumia gari hilo. Na kwakuwa ww ni jirani yake basi nikushauri uende kwa Jirani yako Naseeb kuuliza shida nini mbona gari silioni mtaani?Umekuja tena!!.. Magari haha tuna nunua kwaajili ya kurahisisha shughuli zetu (usafiri) sasa kuna ambao tunajua wananunua magari kuonyesha ufahari yes ni malimbukeni ndio maana linapokufa au likiwa bavu tuna wacheka sana!!.. Anyway nasikia gari lipo south Africa!!..
Mzee baba mbona show ile Zuchu ya siku ya wapendanao alikuja na Hilo gariAu hakuna njia ya kupita tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ulisema ujawahi kumuona diamond anaendesha Hilo gari jamaa joseph1989 kakupa na ushahidi bado unapinga na kuanza kumshambulia sasa hapo mwenye tatizo ni wewe au yeye?Umasikini ni Mzigo mkubwa look at you unashabikia magari ya wenzako huku unadhani tunaotaka kujua ni malimbukeni kama wewe!!..Mzee umeenda Hadi Instagram huko asee kweli wanaume wambea kuliko Wanawake Zama hizi!!..Mama kasema vitu vita panda bei maradufu!!..au mwenzetu kusifia wanaumu wenzako ndio ujira!!!
Kwaio kwenye show ya zuchu aliingia na Passo?Uliona linatembea Wapi lile gari tokea limeonyeshwa lipo mjini!!!..Au wanalifanyia Mpango wafunge Engine ya Crown maana hapa nchini kuna wataalamu wa Kazi hizi sio wa kawaida!!..
Na hapa je?Uliona linatembea Wapi lile gari tokea limeonyeshwa lipo mjini!!!..Au wanalifanyia Mpango wafunge Engine ya Crown maana hapa nchini kuna wataalamu wa Kazi hizi sio wa kawaida!!..
Uliona linatembea Wapi lile gari tokea limeonyeshwa lipo mjini!!!..Au wanalifanyia Mpango wafunge Engine ya Crown maana hapa nchini kuna wataalamu wa Kazi hizi sio wa kawaida!!..
Kweli kabisa ndo maana gari aina hiyo hapa bongo zimejaa kila kona mpk kero .Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Na hapa je?
Hate when you have it
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa ndo maana gari aina hiyo hapa bongo zimejaa kila kona mpk kero .
ALIWAHI KUIENDESHA ULAYA anasemaje niNzro kmLakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi