Gari la Machame Investment limepinduka laua 6 na wengine 19 wamejeruhiwa

Gari la Machame Investment limepinduka laua 6 na wengine 19 wamejeruhiwa

Juzi super feo imekula vichwa Vinne ,hizi ajali mbona zinarudi kwa kasi? tochi hakuna? Trafiki police hakuna?
Tochi zipo Kwa private car Tu Ila Kwa Mabus wanagonga Gia Tu hawana cha speed 50 ni mwendo wa speed 80 kila mahali....
Nimeshuhudia Mimi mwenyewe sehemu ya kwenda speed 50 Dereva wa bus anani-overtake na traffic wanaangalia tu
 
Watu 6 wamefariki dunia huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi la Machame Investment walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Arusha kuacha barabara na kisha kugonga gema na kupinduka.
Kamanda wa Polisi Babati mkoani Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio.
View attachment 1738884
Pole kwa wahanga wa tukio. Mungu awape nguvu wapendwa wetu.
 
Hatimaye uhuru wa habari umeanza kurejea

Ajali zilikuwa zinaishia juu kwa juu
 
Poleni wahanga wote, nimekuwa nikitumia hili basi mara kadhaa kwa route ya arusha to dodoma. My condolesences to the all who passed away from the accident, may all injured people get well soon.
 
Ohh.
Pole majeruhi Mungu awaponye
Mungu awajalie pumziko la milele waliotangulia mbele za haki
 
Hatimaye uhuru wa habari umeanza kurejea

Ajali zilikuwa zinaishia juu kwa juu


Jamaa walifika pabaya sana mpaka askari trafiki walikuwa wana corude na wenye mabasi kuficha ukweli wa ajali.

Kama afande Muhidini hivi karibuni alikataa kabisa kutaja jina la kampuni ya mabasi ilopata ajari maeneo ya mbezi kimara Dar es salaam.

Alikuwa anahojiwa redio one asubuhi bila aibu alikiri kutokea kwa ajali lakini alipotakiwa kutaja jina la kampuni ya basi alikataa kabisa .

Inashangaza sana.

Unaweza kujiuliza Huyu askari kwanini hakutaka kutaja jina la kampuni?

Wananchi tunahaki ya kupata taarifa sahihi.

What if kampuni hiyo hiyo huwa inajirudia ajali haoni inaweza saidia mwananchi kuepuka kupanda mabasi ya kampuni hiyo?

Huyu askari alishangaza wengi sana na kuwaacha kwenye maswali mengi.

Kwamba alikuwa anakataa kutaja jina la kampuni ya basi lilipata ajali kwa manufaa ya nani?
 
Juzi super feo imekula vichwa Vinne ,hizi ajali mbona zinarudi kwa kasi? tochi hakuna? Trafiki police hakuna?
.
IMG-20210328-WA0007.jpg
 
Acha uzuzu...!
Mtanikumbuka kwa mazur sio kwa mabaya.Naona hizi ajari kuna mtu alikua kazifungia ndani kipindi cha Magu sasa kaondoka mbabe nae kafungulia Watanzania tumwombe Mungu.
 
Jamaa walifika pabaya sana mpaka askari trafiki walikuwa wana corude na wenye mabasi kuficha ukweli wa ajali.

Kama afande Muhidini hivi karibuni alikataa kabisa kutaja jina la kampuni ya mabasi ilopata ajari maeneo ya mbezi kimara Dar es salaam.

Alikuwa anahojiwa redio one asubuhi bila aibu alikiri kutokea kwa ajali lakini alipotakiwa kutaja jina la kampuni ya basi alikataa kabisa .

Inashangaza sana.

Unaweza kujiuliza Huyu askari kwanini hakutaka kutaja jina la kampuni?

Wananchi tunahaki ya kupata taarifa sahihi.

What if kampuni hiyo hiyo huwa inajirudia ajali haoni inaweza saidia mwananchi kuepuka kupanda mabasi ya kampuni hiyo?

Huyu askari alishangaza wengi sana na kuwaacha kwenye maswali mengi.

Kwamba alikuwa anakataa kutaja jina la kampuni ya basi lilipata ajali kwa manufaa ya nani?
Yes ila pia nilisikia za chini chin kuna kampuni zinahonga habari zake zisiwekws hadharani
 
Back
Top Bottom