TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
😁😁 So unataka kumaanisha kaanza vibaya?Haya mambo tulisha yasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 So unataka kumaanisha kaanza vibaya?Haya mambo tulisha yasahau
Yes ila pia nilisikia za chini chin kuna kampuni zinahonga habari zake zisiwekws hadharani
Kwamba toka 2016 ajali hazijatokea?
👹👺Huu utawala umeanza na damu sana kheee!
Huyu madha vipi?
hii ni gari aina gani au ni zile za watali
hii ni gari aina gani au ni zile za watali
Hivi kwa nini makamanda wa polisi huwa wanakuwaga na mjina ya ajabu ajabu[emoji2]Watu 6 wamefariki dunia huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi la Machame Investment walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Arusha kuacha barabara na kisha kugonga gema na kupinduka. Kamanda wa Polisi Babati mkoani Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio.
makafala hayo mkuu watu wanavuna damu hapoHaya mambo tulisha yasahau.
Bila shaka Msafiri wetu alifika salama!Sawa huyu ametokea Songea
Mungu awatangulie na awajaze nguvu ndugu wote wa waliopata ajaliiiii aamiinWatu 6 wamefariki dunia huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi la Machame Investment walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Arusha kuacha barabara na kisha kugonga gema na kupinduka. Kamanda wa Polisi Babati mkoani Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio.
hii ni gari aina gani au ni zile za watali