Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
matatizo binafsi yatatuliwe kibinafsi 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
matatizo binafsi yatatuliwe kibinafsi 🐒
Sawa,ila kuna watu wengi wako huko kwenye nafasi za kiasiasamatatizo binafsi yatatuliwe kibinafsi 🐒
Cdm kivipi mkuuChadema ni janga
Ila mambo ya pongezi ya miradi ya umma ziende kwa MTU mmojamatatizo binafsi yatatuliwe kibinafsi 🐒
yale yayofanyika kwa niaba ya taifa na kwa maslahi mapana ya nchi....Ila mambo ya pongezi ya miradi ya umma ziende kwa MTU mmoja

si umeona hata lisu na msigwa wamelia sana, tena kwa sauti ya juu sana kwa rafu za uchaguzi?Sawa,ila kuna watu wengi wako huko kwenye nafasi za kiasiasa
Kama ubunge,ila ndy watu wa magumashi,wamejificha tu huko
Ova

Nnachoipendea tz hata uwe na criminal record bado unaweza ukawa mtu fulani na nyadhifa ukashikasi umeona hata lisu na msigwa wamelia sana, tena kwa sauti ya juu sana kwa rafu za uchaguzi?
moyo wa mtu ni kichaka na sio rahisi kuona mwenzio anawaza au kupanga nini juu ya maisha yake kupitia vitu alivyonanvyo kama magari yake binafsi n.k![]()
mbaya zaidi ni kurudia kosa,Nnachoipendea tz hata uwe na criminal record bado unaweza ukawa mtu fulani na nyadhifa ukashika
Na mtaani ukaonekana shujaa
Ova

Watu wanaficha madudu yaombaya zaidi ni kurudia kosa,
binadamu kufanya mistakes kwa bahati mbaya, kwa tamaa na makusudi, kwa kujua au kutokujua ni kawaida. Ila kurudia kosa ndio tatizo kubwa zaiid![]()
Anaweza kuwa hafahamuunataka kusema,mmiliki wa gari hajuwi
Ova
Unataka kusema mmiliki wa gari/mbunge haujuwi huo mchongo kweli 😄mbaya zaidi ni kurudia kosa,
binadamu kufanya mistakes kwa bahati mbaya, kwa tamaa na makusudi, kwa kujua au kutokujua ni kawaida. Ila kurudia kosa ndio tatizo kubwa zaiid![]()
Tupate tu jina la mmilikiAnaweza kuwa hafahamu
Dereva kaenda kuosha gari kaenda kusukuma kazi za pembeni kwa kutumia gari ya boss
Ukisha kuwa unajihusisha na magumashi kuacha ni ngumumbaya zaidi ni kurudia kosa,
binadamu kufanya mistakes kwa bahati mbaya, kwa tamaa na makusudi, kwa kujua au kutokujua ni kawaida. Ila kurudia kosa ndio tatizo kubwa zaiid![]()
Unajua mtu anaweza kuwa ni jambazi wa magari ila ukatokea ujambazi kwenye benki akaambiwa ni yeye 😄Tupate tu jina la mmiliki
Watu tuta mscan dk 0
Kama ni mtu wa michezo au la
Ova
Mimi navyojuwa,ukisha kuwa mtu wa magumashi always utakuwa mtu wa magumashi,kuacha ni ngumuUnajua mtu anaweza kuwa ni jambazi wa magari ila ukatokea ujambazi kwenye benki akaambiwa ni yeye 😄