Gari la Mbunge ladaiwa kubeba wahamiaji haramu Mkoani Kilimanjaro

Mimi navyojuwa,ukisha kuwa mtu wa magumashi always utakuwa mtu wa magumashi,kuacha ni ngumu
Yaani mnataka kusema mmiliki wa gari hajuwi lolote kuhusu huyo dereva wake au labda tuseme ndy ilikuwa dili lake la kwanza

Ova
Ni kama hawa madereva wa malori anapeleka mzigo mkoani akirudi gari ipo tupu ana fanya mishe zake likikwama chimbo au mzigo wa magumashi umekamatwa ndani ya gari yeye ana kimbia msala unakuwa kwa boss
 
Ni kama hawa madereva wa malori anapeleka mzigo mkoani akirudi gari ipo tupu ana fanya mishe zake likikwama chimbo au mzigo wa magumashi umekamatwa ndani ya gari yeye ana kimbia msala unakuwa kwa boss
Wale madereva wengi malori
Hizo dili wao wanajiongezaga

Ova
 
Umtaje wakt hausiki mwandishi hataki kesi 😄
Huko ndani ndani kuna watu maalum wanawapokea hao wahamiaji haramu,kuna vituo watu wanavi control
Huu mtandao ni wa macartel
Na mamafia haswaaaa
Ili serikali iondokane na hali hii sijui unawakamata kuwafunga,kuwalisha huko magerezani...ni kujitia gharama tu
Watu wenyewe wao wanapita tu tz...
Wawe wanalipisha pass tu wao waendeleee

Ova
 
Ttz wasipo thibitiwa napo wanaweza kuweka makazi hapa yakaanza kutokea mengine
 
Lucas Mwashambwa kwakweli tumebubujikwa na machozi ya furaha kwa uzalendo na huruma ya mbunge wa ccm kutumia gari lake kufanya uhamiaji haramu.
 
Hawa wabunge uchwara wanatuaibisha sisi wenye V8 tulizozigharimia kwa pesa ndefu!
 
Uko sahihi pengine mbunge yeye Hana taarifa kuhusu Mambo kama hayo...anashitukizwa Tu kama AZAM Kwenye kombe la siiaraDIBII.
 
Uko sahihi pengine mbunge yeye Hana taarifa kuhusu Mambo kama hayo...anashitukizwa Tu kama AZAM Kwenye kombe la siiaraDIBII.
kumbe hayo magari yanaweza kwenda umbali mrefu bila kua na mhusika, nilijua linapoenda basi mheshimiwa hawi mbali nalo
 
Hawa panya road wameficha jina la mbunge bila shaka atakuwa waziri mwandamizi kwenye serikali hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…