Gari la Mbunge lililohusika kusafirisha wahamiaji haramu Lataifishwa na Mahakama. Mbunge anayelimiliki yeye vipi?

Hawa panya road wameficha jina la mbunge bila shaka atakuwa waziri mwandamizi kwenye serikali hii.
 
Gari lake limefikaje Kwa wasafirishaji haramu? Au aliwaazima bila kujua wanachoenda kufanyia?
Kama yeye hakuwepo hausiki aliyekuwepo anahusika
Mara madereva ndy wanachezamichezo hii baada ya kuletewa dili na madalali wa wahamiaji haramu
We siku nenda kayaking gari chalinze,njia ya moro ukifatwa na mtu akikuambiaaa kuna box za kubeba*code*jua ni wahamiaji haramu
Wenyewe wanatumiaaa neno box

Ova
 
Kuna dada wa watu yule alikutwa na kapaja kwa swala anawachomea wanae wale alikula mvua 30 akafie huko huko leo hii haya lakini
 
Hayo yalifanyika awamu ya nani?

Kwenye mada hapo Juu Samia Yuko wapi au ametajwa wapi?
Ufisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi.

Ufisadi uliopo sasa Samia hawezi kuukomesha kwa sababu hata yeye ni fisadi mkubwa.


Ikiwa upo serious kumlaumu jiwe ambaye alithubutu kupambana na mafisadi basi u uzao wa mafisadi
 
Mbali na kutaifishwa kwa magari hayo kuwa mali ya Serikali ya Tanzania, mahakama zimewahukumu wahamiaji hao kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela.
Ni mali ya Mbunge au mali ya Serikali ?
 
Rostam alisema mahamaka za bongo ni utopolo. Hakuna kampuni ya nje inataka kesi zake zisikilizwe na majaji wanaofuata maagizo toka juu badala ya sheria.
 
Ufisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi.

Ufisadi uliopo sasa Samia hawezi kuukomesha kwa sababu hata yeye ni fisadi mkubwa.


Ikiwa upo serious kumlaumu jiwe ambaye alithubutu kupambana na mafisadi basi u uzao wa mafisadi
Ufisadi upi ambao Jiwe alipambana nao? Umewahi sikia ripoti ya CAG ikiwa nzuri awamu ya Jiwe?

Huu upuuzi aliwakaririsha nani? Aliyefukuza CAG Kwa kuibua Ufisadi alikuwa nani zaidi ya Jiwe?
 
Kisheria siyo rahisi kuthibitisha uharifu wa Mbunge kwenye issue hiyo.
Gari lake ndilo lenye uharifu hata likatiwa hatiani.
Kumiliki gari siyo kosa.
Unaweza kumpa mtu gari kwa nia njema yeye akalitumia kufanya uovu.
 
Kisheria siyo rahisi kuthibitisha uharifu wa Mbunge kwenye issue hiyo.
Gari lake ndilo lenye uharifu hata likatiwa hatiani.
Kumiliki gari siyo kosa.
Unaweza kumpa mtu gari kwa nia njema yeye akalitumia kufanya uovu.
Si angetajwa hata kutajwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…