imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Labda Bahasha za Lumumba zimechelewa?Kuna muda nawaza tu kama kuna mtu ameingilia mfumo wa mawasiliano yako, au!! Maana kama siamini hivi!! Kuanzia jana na leo umekuwa ukiuliza maswali ya kufikirisha sana.