Maccm huku yanakufa, kula ajali kule yanachomana moto.Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
Hii ndio gari ya Mbunge??
Kaiba mke wa mtu huyo.Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
Ndio hio hujasoma maelezo kwenye andiko na kufungua link?? Hapo atakuwa kalileta kuja kulichomea moto alipwe na BIMAHii ndio gari ya Mbunge??
Ni CCM NDIO INA SIASA ZA CHUKIInasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
Ahaaa! kumbe dawa ya kununuliwa gari mpya na bima ni kuchoma kuu kuu.....let me try this at home.Kalichoma mwenyewe ili alipwe bima akanunue gari mpya ,hiyo ilikuwa inamsumbua.
Mbona hapa mtaani kwake sote tunajua
Mbunge kapiga hesabu kaona kalipia bima kubwa (comprehensive) kiasi cha kununua gari nyingine. Halafu ya kwake imechoka, kaona isiwe tabu. Kalichoma, halafu mleta mada anawaangushia zigo chadema.Ahaaa! kumbe dawa ya kununuliwa gari mpya na bima ni kuchoma kuu kuu.....let me try this at home.
Kama umewataja chadema kwanini unasema watu wasiojulikana? Usaidie vyombo vya ulinzi katika uchunguziInasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
Kwanini imehisiwa hivyo ?, Kuendeleza kuhisi bila uhakika ni kundeleza chuki nchini koteInasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
Nchi hii siasa zishatuharibu mzeeAcheni ujinga wa kuingiza siasa kwenye kila eneo! Hao chadema wakimchomea gari ndo wanapata nn? Huyo mbunge ndo kazuia katiba mpya kuwepo?
Wengine wanatembea na wake za watu, wamedhulumu wengine mali zao, wakilipizwa kisasi mnaishia chadema!
Muwe mara nyingine mnafikiria nje ya box siyo kila kitu siasa tu
Sidhani kama bima ni wajinga kiasi hicho....Mbunge kapiga hesabu kaona kalipia bima kubwa (comprehensive) kiasi cha kununua gari nyingine. Halafu ya kwake imechoka, kaona isiwe tabu. Kalichoma, halafu mleta mada anawaangushia zigo chadema.
Hawana namna mkuu lazima wamlipe. Unawasha njiti ya kiberiti unatupia ndani ya gari karibu na kibanda cha kuchomea chips halafu unawaambia bima cheche ya moto wa chips ndiyo chanzo. Unavuta mkwanjaSidhani kama bima ni wajinga kiasi hicho....
Mimi mwenyewe najiuliza sana
Sasa bima ndo watakuwa wamekuagiza kupeleka gari karibu na jiko la chipsi? itabidi ujipange sana kuwaelewesha vinginevyo hesabu maumivu.Hawana namna mkuu lazima wamlipe. Unawasha njiti ya kiberiti unatupia ndani ya gari karibu na kibanda cha kuchomea chips halafu unawaambia bima cheche ya moto wa chips ndiyo chanzo. Unavuta mkwanja
Moderator Ni vyema hizi habari za kutuhumu na kuhisi bila ushahid ziwe banned manake ni kinyume na ethics za JF zilizoainishwa kwenye guidelines.Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV