Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana

Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana

Wewe Bashite mfoji vyeti na muuaji ni mtu hatari sana na mpumbavu mkubwa. Sasa mmeanza kuchoma moto magari yenu ili muibambikie kesi Chadema.

Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe mh George aina ya brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na chadema nchini kote.

Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana – Millard Ayo TV
 
Kalichoma mwenyewe ili alipwe bima akanunue gari mpya ,hiyo ilikuwa inamsumbua.

Mbona hapa mtaani kwake sote tunajua
Bei ya brevis ni 3m. Gari ilikuwa na third party insurance ya 118k. Kwa hiyo halipwi
 
Sasa bima ndo watakuwa wamekuagiza kupeleka gari karibu na jiko la chipsi? itabidi ujipange sana kuwaelewesha vinginevyo hesabu maumivu.
Unaongelea bima wa mwaka 47 mkuu. Siyo Hawa wa miaka hii wenye njaa na tamaa. Ukitenga milioni 2 za kuwapanga hao watendaji wa bima, malipo hata ya milioni 100 ni fasta
 
Mmeishafanya uchuguzi yatari? mmejuaje limechomwa moto na watu wasiojulikana? Hivi kuna visababishi vingapi vya kuwasha moto kwenye gari...! Je. mwenye gari ametoa taarifa zipi kujiridhisha kuwa yeye mwenyewe siyo chanzo? Au ndiyo hiyo staili ya ili uanze uchunguze lazima utuhumu...! ? Si vyema kuleta taharuki katika kipindi hiki!
 
WhatsApp-Image-2021-09-29-at-9.21.29-AM-660x400.jpeg

Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.

Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.

Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.

Chanzo: Millard Ayo
Huyu mbunge ndie alisema Tanzania ni muungano wa wa Zimbabwe na Zanzibar
 
WhatsApp-Image-2021-09-29-at-9.21.29-AM-660x400.jpeg

Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.

Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.

Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.

Chanzo: Millard Ayo
Wananchi wamekasirika kea sababu huyo sio mbunge wao walio mchagua, alipita vila ya kupingwa nini !
 
Hii gari alinunulia mchepuko ulimpomzingua akapora gari yake sasa gari imechomwa hivi ni nani huyu aleichoma?
 
Sina shida na gari ya wadada brevis nina shida na hapo nyumbani......mbwa walibweka anafuga mbwa kwa ajili gani nyumba haina hata uzio?
 
WhatsApp-Image-2021-09-29-at-9.21.29-AM-660x400.jpeg

Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.

Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.

Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.

Chanzo: Millard Ayo
Mku mbona wasiojulokana kwa sasa wanajulikana, wapo Tazara, mbweni, na sehemu kadhaa. Walimteka Mbowe na wenzake usiku wa manane Mwanza. Chadema unawssingizia uone aibu mkuu.
 
Chadema ni janga
Chadema wanahusikaje wakati ndani ya CCM Kuna majina mengi tu yaliyopitishwa na wajumbe lkn yakakatwa kule Dodoma. Unategemea aliyekatwa alifurahi? Kabla hujaanza kumlaumu jirani angalia jumbani yako kuanzia chumbani huenda mbaya wako Ni mkeo unayelala nae bila boksa
 
Back
Top Bottom