MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 384
- 418
Kwa hiyo hapo ndio nyumbani kwa Mbunge wetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada acha uchochezi, mwenye kufanya siasa chafu ni nani Kati ya pande hizo mbili? Tena uache kuchochea chiki na hasira kwa wanaoonewa.![]()
Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .
Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.
Chanzo: Millard Ayo
Inawezakana amelichoma mwenyewe kwa malengo maalum.![]()
Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .
Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.
Chanzo: Millard Ayo
Watu wanakatia passo na bodabodaBrevis halafu akatie bima kubwa thubutuu...
Eh angemiliki vx wadau mngemsemaMbunge anamiliki brevis
Mbunge wa Kwanza anaemiliki brevis 😂😂😂Huyo mbunge ana mke? Mahusiano yao yakoje
Maana sisi akili zetu tunazijuaga wenyewe
Mnyika alikuwa anatumiaga vitz ile ya silver unaikumbka,mnyika economy balaaMbunge wa Kwanza anaemiliki brevis 😂😂😂
Kulipwa ni mchakato ambao unauandaa kabla hata hujachoma gari 😅Sasa bima ndo watakuwa wamekuagiza kupeleka gari karibu na jiko la chipsi? itabidi ujipange sana kuwaelewesha vinginevyo hesabu maumivu.
Nimemwambia pia huyo kolo, mchakato wa kulipwa unapangwa kabla hata hujapiga tukio! Unatembeza kibunda tu kisha unafanya yako 😅😅😅 unasubiria miezi kadhaa mzigo unaingizwa bank au chombo mpya inanunuliwa!Unaongelea bima wa mwaka 47 mkuu. Siyo Hawa wa miaka hii wenye njaa na tamaa. Ukitenga milioni 2 za kuwapanga hao watendaji wa bima, malipo hata ya milioni 100 ni fasta
Nini kinasikitisha hapo?Inasikitisha!
Miaka ya nyuma kuna watu hiyo ndy ilikuwa michongo yao,njia goba ilitumika sanaKulipwa ni mchakato ambao unauandaa kabla hata hujachoma gari 😅
Si ni mbunge wa kuwekwa na dola?Brevis nayo ni gari ya kudrive mbunge
Lisu alipigwa na gaidi baada ya kusikia fununu anataka kugombea uenyekiti ndiyo maana dereva akafichwa mpaka leo
Kwani ndiko tulikofika?Si ni mbunge wa kuwekwa na dola?
Usisahau na tozoMshahara wa mwezi ananunua ingine Hawana shida hao nahivi kodi hawalipi...