mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 197
V'akuti mpopo.Huyo mbunge ana mke? Mahusiano yao yakoje
Maana sisi akili zetu tunazijuaga wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
V'akuti mpopo.Huyo mbunge ana mke? Mahusiano yao yakoje
Maana sisi akili zetu tunazijuaga wenyewe
... kama nimekufananisha, ... hivi hatujawahi kuonana viunga vya Katerero?Ndiyo wenye roho za korosho
Hata nyumba ilipo ungulia gari kama gheto vile, huenda ni gari ya mchepuko aliko lala.Brevis nayo ni gari ya kudrive mbunge
Maelezo ya mlinzi yanasemaje?View attachment 1956996
Hapa ni Nyumbani kwa Mbunge au kwa mchepuko mke kagundua kaja kuchoma gari,na hii ndio gari yake????
Kama ndie muomba posho, ana haki.Ndo huyu aliyetaka aongezewe posho? tena alipwe kwa dola, au ni mwingine....
Polisi wa songwe wazngatie 'pgo' kwa mujibu wa sheria na upelelezi uwe wa haki!Wanaweza wakafikishiwa Tazara!
Naona unamsagia kunguni mwanamke mwenzio ..😀Inawezekana mama mjengo keshafanya yake
Uzuri linafika ambapo mengine yanafikaBrevis nayo ni gari ya kudrive mbunge
Naona unamsagia kunguni mwanamke mwenzio ..😀
Yaani mmesaka visingizio vya kuwabambikia kesi chadema mmekosa sasa mmeamua kuchoma Gari yenu kwa makusudi ili mpate kisingizio cha kuwabambikia kesi kwa njia haramu za kishetani![]()
Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.
Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.
Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.
===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .
Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.
Chanzo: Millard Ayo
Wamechoma wenyewe ili wapate kisingizio cha kuwabambikia kesi chademaMaccm huku yanakufa, kula ajali kule yanachomana moto.
Uroho wa madaraka ndani ya ccm utawamaliza.
CCM wamechoma wenyewe ili wapate kisingizio cha kuwatuma Polisiccm wawabambikie kesi chademaHizi ni chuki zilizopandwa na uchafuzi wa 28/10/2020.
Songwe wameona chadema ipo imara ndipo wameamua kuchoma hiyo gari wapate kisingizio cha kuwabambikia kesi chademaWewe Bashite mfoji vyeti na muuaji ni mtu hatari sana na mpumbavu mkubwa. Sasa mmeanza kuchoma moto magari yenu ili muibambikie kesi Chadema.
Malengo yake ni kuwabambikia kesi chadema si vinginevyoInawezakana amelichoma mwenyewe kwa malengo maalum.
siku za mwizi ni 40. walifanya mbinu zote wakasahau kuondoa cameraNilijiuliza kwanini Camera ziliondolewa?
Wahalifu waliwezaje kupenya kwenye eneo linalolindwa kwa CCTV camera bila kukamatwa hadi leo?
Au wewe mwenzangu ulijiuliza maswali gani?
Ni ndogo hayo niliyojiuliza kwenye tukio lile,Je wewe?
Ugaidi upi? Ugaidi wa kutengeneza huo ugaidi feki umeamua kuusambaza kwenda Songwe sasa, acha roho mbaya walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha mabutu Elibashiri idd Amin dada Sadam Hussein Gadafi na wenzao wapi leo? hiyo roho mbaya yako itakupeleka wapi?Serikali haijaufyata gaidi yupo nyuma ya nondo mpaka atakapomleta dereva wa Lisu.
Sasa wanachoma magari kisha Polisiccm wawabambikie kesi chademaccm hawapendani hapo, hawataki kuvunja makundi
Hahaha kumbe Mbunge mwenyewe ni fuska? ni mzinzi sana?Mbunge Aache kutembea na wake za watu