Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana

Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana

WhatsApp-Image-2021-09-29-at-9.21.29-AM-660x400.jpeg

Inasikitisha! Usiku wa kuamkia leo gari la mbunge wa jimbo la Songwe Mhe. George Mwenisongole aina ya Brevis limechomwa moto na watu wasiojulikana.

Imehisiwa kuwa hizo ni siasa za chuki zinazoendekezwa na Chadema nchini kote.

Gumzo!! Gari la Mbunge lachomwa moto na watu wasiojulikana.

===
Usiku wa kuamkia leo 29/09/2021 gari la mbunge wa jimbo la Mbozi Mh.George Mwenisongole aina ya Brevis T 231 DDZ imechomwa moto na watu wasio julikana nyumbani kwake Ichenjezya Vwawa Mbozi Songwe .

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba ambae ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa amesama chanzo cha tukio hilo hakijajulikana na waliofanya tukio hilo bado hawajajulikana hivyo wameviachia vyombo husika kufanya upelelezi na utakapokamilika waliohusika watawajibishwa.

Chanzo: Millard Ayo
Yaani mmesaka visingizio vya kuwabambikia kesi chadema mmekosa sasa mmeamua kuchoma Gari yenu kwa makusudi ili mpate kisingizio cha kuwabambikia kesi kwa njia haramu za kishetani
 
Wewe Bashite mfoji vyeti na muuaji ni mtu hatari sana na mpumbavu mkubwa. Sasa mmeanza kuchoma moto magari yenu ili muibambikie kesi Chadema.
Songwe wameona chadema ipo imara ndipo wameamua kuchoma hiyo gari wapate kisingizio cha kuwabambikia kesi chadema
 
Nilijiuliza kwanini Camera ziliondolewa?

Wahalifu waliwezaje kupenya kwenye eneo linalolindwa kwa CCTV camera bila kukamatwa hadi leo?

Au wewe mwenzangu ulijiuliza maswali gani?


Ni ndogo hayo niliyojiuliza kwenye tukio lile,Je wewe?
siku za mwizi ni 40. walifanya mbinu zote wakasahau kuondoa camera
 
Serikali haijaufyata gaidi yupo nyuma ya nondo mpaka atakapomleta dereva wa Lisu.
Ugaidi upi? Ugaidi wa kutengeneza huo ugaidi feki umeamua kuusambaza kwenda Songwe sasa, acha roho mbaya walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha mabutu Elibashiri idd Amin dada Sadam Hussein Gadafi na wenzao wapi leo? hiyo roho mbaya yako itakupeleka wapi?
 
Back
Top Bottom