Gari la mchango la makamu Mwenyekiti CHADEMA

Gari la mchango la makamu Mwenyekiti CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kumekua na maswali mengi sana, kuhusu gari la mchango la makamu mwenyekuti wa chadema, kwamba gari hilo la mchango ni kwaajili ya matumizi na kazi za chama au kazi zake binafsi? ni vema chimbuko la jambo hili likawekwa bayana vizuri wengi hawaelewe vizuri.

Na kwamba wachangiaji wa gari wajiandae pia kuchangia mafuta kwa ajili ya gari hilo, au mafuta itakua ni garama za chama au alie changiwa?

Lakini pia kumeonekana mgomo na mgawanyiko kwa baadhi ya wanachama wa chadema. miongoni mwao wamekubali kuchangia na kuhamasisha webgine kuchangia zaidi, lakini baadhi yao pia wakigomea zoezi hilo huku wakipiga vita zoezi hilo chini kwa chini, huku wakikemea tabia hiyo, kwamba sio mazoea mazuri....

Wengine wameenda mbali zaidi kuhoji na kutaka kujua, kama hatua hii ya makamu mwenyekiti ya kuomba kuchangiwa gari kwa mgongo wa chama, ina baraka za kamati kuu ama laa?

Haitoshi, kuna wanao ona hatua hii ya makamu mwenyekiti chadema, kuomba kuchangiwa gari, ni dalili kwamba chadema kwa sasa hakuna utaratibu wa kufanya mambo, na kwamba kiongozi yeyote mwandamizi anawezea kuamua kufanya chochote kwa platfom ya chama, bila ridhaa ya chama kwa manufaa yake binafsi atakavyo ama laa?

Wapo wanao hoji kwamba, hivi ni kweli makamu mwenyekiti aliomba gari kamati kuu wakashindwa kumpatia, na kumshauri atumie njia ya kuomba achabgiwe na umma?

Wanaendelea kuhoji kwamba hii sio exit signal kwa makamu mwenyekiti kuondoka chadema na kundi amabalo wamekubali kumchangia?

Wengine wanaona ni kama kuna fukuto la chini kwa chini baina ya mwenyekiti na makamu mwenyekiti taifa kwamba they don't see each other eye to eye. wanaoneana aibu tu kwa sasa, wanaviziana, kila moja akisubiri mwenzake across au abreak the line kiwake.

Haijabainika sababu hasa ya msingi ya kutofautiana kwao, but there is something fishy amaong them....

Kwa ujumla chadema inafaa, kuchukua hatua za makusudi, kujitokeza hadharani mapema tu kadiri itakavyoonekana inafaa, na kuelezea kwa kina mambo haya amabayo yanayoweza kuonekana madogo kwasasa, lakini yenye athari na madhara makubwa sana baadae kwenye ustawi na afya ya taasisi yao...

Sio kwa ubaya lakini, jitokezeni, wekeni sawa sintofahamu hii ya kisiasa bila kuchelewa, waondoeni mihemko, hofu na moyo wa kukata tamaa makamanda wa chadema kwa maslahi mapana ya chadema, na ustawi wa demokrasia Tanzania :BASED:
 
kumekua na maswali mengi sana, kuhusu gari la mchango la makamu mwenyekuti wa chadema, kwamba gari hilo la mchango ni kwaajili ya matumizi na kazi za chama au kazi zake binafsi? ni vema chimbuko la jambo hili likawekwa bayana vizuri wengi hawaelewe vizuri.

Na kwamba wachangiaji wa gari wajiandae pia kuchangia mafuta kwa ajili ya gari hilo, au mafuta itakua ni garama za chama au alie changiwa?

Lakini pia kumeonekana mgomo na mgawanyiko kwa baadhi ya wanachama wa chadema. miongoni mwao wamekubali kuchangia na kuhamasisha webgine kuchangia zaidi, lakini baadhi yao pia wakigomea zoezi hilo huku wakipiga vita zoezi hilo chini kwa chini, huku wakikemea tabia hiyo, kwamba sio mazoea mazuri....

Wengine wameenda mbali zaidi kuhoji na kutaka kujua, kama hatua hii ya makamu mwenyekiti ya kuomba kuchangiwa gari kwa mgongo wa chama, ina baraka za kamati kuu ama laa?

Haitoshi, kuna wanao ona hatua hii ya makamu mwenyekiti chadema, kuomba kuchangiwa gari, ni dalili kwamba chadema kwa sasa hakuna utaratibu wa kufanya mambo, na kwamba kiongozi yeyote mwandamizi anawezea kuamua kufanya chochote kwa platfom ya chama, bila ridhaa ya chama kwa manufaa yake binafsi atakavyo ama laa?

Wapo wanao hoji kwamba, hivi ni kweli makamu mwenyekiti aliomba gari kamati kuu wakashindwa kumpatia, na kumshauri atumie njia ya kuomba achabgiwe na umma?

Wanaendelea kuhoji kwamba hii sio exit signal kwa makamu mwenyekiti kuondoka chadema na kundi amabalo wamekubali kumchangia?

Wengine wanaona ni kama kuna fukuto la chini kwa chini baina ya mwenyekiti na makamu mwenyekiti taifa kwamba they don't see each other eye to eye. wanaoneana aibu tu kwa sasa, wanaviziana, kila moja akisubiri mwenzake across au abreak the line kiwake.

Haijabainika sababu hasa ya msingi ya kutofautiana kwao, but there is something fishy amaong them....

Kwa ujumla chadema inafaa, kuchukua hatua za makusudi, kujitokeza hadharani mapema tu kadiri itakavyoonekana inafaa, na kuelezea kwa kina mambo haya amabayo yanayoweza kuonekana madogo kwasasa, lakini yenye athari na madhara makubwa sana baadae kwenye ustawi na afya ya taasisi yao...

Sio kwa ubaya lakini, jitokezeni, wekeni sawa sintofahamu hii ya kisiasa bila kuchelewa, waondoeni mihemko, hofu na moyo wa kukata tamaa makamanda wa chadema kwa maslahi mapana ya chadema, na ustawi wa demokrasia Tanzania :BASED:
Hakuna mwana chadema yoyote aliehoji hayo izo ni hoja zako binafsi. kwanini haujiamini mpaka unatoa hoja kwa kujificha kwenye mgongo wa wengine? anyway kama wahusika wapo humu watakuja kukupa majibu.
 
Hakuna mwana chadema yoyote aliehoji hayo izo ni hoja zako binafsi. kwanini haujiamini mpaka unatoa hoja kwa kujificha kwenye mgongo wa wengine? anyway kama wahusika wapo humu watakuja kukupa majibu.
katka maelezo yako mazuri sana,
aya ya mwisho ndio ina maana mengine ni porojo tu, politicaly speaking :pedroP:
 
kumekua na maswali mengi sana, kuhusu gari la mchango la makamu mwenyekuti wa chadema, kwamba gari hilo la mchango ni kwaajili ya matumizi na kazi za chama au kazi zake binafsi? ni vema chimbuko la jambo hili likawekwa bayana vizuri wengi hawaelewe vizuri.

Na kwamba wachangiaji wa gari wajiandae pia kuchangia mafuta kwa ajili ya gari hilo, au mafuta itakua ni garama za chama au alie changiwa?

Lakini pia kumeonekana mgomo na mgawanyiko kwa baadhi ya wanachama wa chadema. miongoni mwao wamekubali kuchangia na kuhamasisha webgine kuchangia zaidi, lakini baadhi yao pia wakigomea zoezi hilo huku wakipiga vita zoezi hilo chini kwa chini, huku wakikemea tabia hiyo, kwamba sio mazoea mazuri....

Wengine wameenda mbali zaidi kuhoji na kutaka kujua, kama hatua hii ya makamu mwenyekiti ya kuomba kuchangiwa gari kwa mgongo wa chama, ina baraka za kamati kuu ama laa?

Haitoshi, kuna wanao ona hatua hii ya makamu mwenyekiti chadema, kuomba kuchangiwa gari, ni dalili kwamba chadema kwa sasa hakuna utaratibu wa kufanya mambo, na kwamba kiongozi yeyote mwandamizi anawezea kuamua kufanya chochote kwa platfom ya chama, bila ridhaa ya chama kwa manufaa yake binafsi atakavyo ama laa?

Wapo wanao hoji kwamba, hivi ni kweli makamu mwenyekiti aliomba gari kamati kuu wakashindwa kumpatia, na kumshauri atumie njia ya kuomba achabgiwe na umma?

Wanaendelea kuhoji kwamba hii sio exit signal kwa makamu mwenyekiti kuondoka chadema na kundi amabalo wamekubali kumchangia?

Wengine wanaona ni kama kuna fukuto la chini kwa chini baina ya mwenyekiti na makamu mwenyekiti taifa kwamba they don't see each other eye to eye. wanaoneana aibu tu kwa sasa, wanaviziana, kila moja akisubiri mwenzake across au abreak the line kiwake.

Haijabainika sababu hasa ya msingi ya kutofautiana kwao, but there is something fishy amaong them....

Kwa ujumla chadema inafaa, kuchukua hatua za makusudi, kujitokeza hadharani mapema tu kadiri itakavyoonekana inafaa, na kuelezea kwa kina mambo haya amabayo yanayoweza kuonekana madogo kwasasa, lakini yenye athari na madhara makubwa sana baadae kwenye ustawi na afya ya taasisi yao...

Sio kwa ubaya lakini, jitokezeni, wekeni sawa sintofahamu hii ya kisiasa bila kuchelewa, waondoeni mihemko, hofu na moyo wa kukata tamaa makamanda wa chadema kwa maslahi mapana ya chadema, na ustawi wa demokrasia Tanzania :BASED:
Baraka za chama za nn tena??? Mbona Mimi CCM lakini nimemchangia
 
kumekua na maswali mengi sana, kuhusu gari la mchango la makamu mwenyekuti wa chadema, kwamba gari hilo la mchango ni kwaajili ya matumizi na kazi za chama au kazi zake binafsi? ni vema chimbuko la jambo hili likawekwa bayana vizuri wengi hawaelewe vizuri.

Na kwamba wachangiaji wa gari wajiandae pia kuchangia mafuta kwa ajili ya gari hilo, au mafuta itakua ni garama za chama au alie changiwa?

Lakini pia kumeonekana mgomo na mgawanyiko kwa baadhi ya wanachama wa chadema. miongoni mwao wamekubali kuchangia na kuhamasisha webgine kuchangia zaidi, lakini baadhi yao pia wakigomea zoezi hilo huku wakipiga vita zoezi hilo chini kwa chini, huku wakikemea tabia hiyo, kwamba sio mazoea mazuri....

Wengine wameenda mbali zaidi kuhoji na kutaka kujua, kama hatua hii ya makamu mwenyekiti ya kuomba kuchangiwa gari kwa mgongo wa chama, ina baraka za kamati kuu ama laa?

Haitoshi, kuna wanao ona hatua hii ya makamu mwenyekiti chadema, kuomba kuchangiwa gari, ni dalili kwamba chadema kwa sasa hakuna utaratibu wa kufanya mambo, na kwamba kiongozi yeyote mwandamizi anawezea kuamua kufanya chochote kwa platfom ya chama, bila ridhaa ya chama kwa manufaa yake binafsi atakavyo ama laa?

Wapo wanao hoji kwamba, hivi ni kweli makamu mwenyekiti aliomba gari kamati kuu wakashindwa kumpatia, na kumshauri atumie njia ya kuomba achabgiwe na umma?

Wanaendelea kuhoji kwamba hii sio exit signal kwa makamu mwenyekiti kuondoka chadema na kundi amabalo wamekubali kumchangia?

Wengine wanaona ni kama kuna fukuto la chini kwa chini baina ya mwenyekiti na makamu mwenyekiti taifa kwamba they don't see each other eye to eye. wanaoneana aibu tu kwa sasa, wanaviziana, kila moja akisubiri mwenzake across au abreak the line kiwake.

Haijabainika sababu hasa ya msingi ya kutofautiana kwao, but there is something fishy amaong them....

Kwa ujumla chadema inafaa, kuchukua hatua za makusudi, kujitokeza hadharani mapema tu kadiri itakavyoonekana inafaa, na kuelezea kwa kina mambo haya amabayo yanayoweza kuonekana madogo kwasasa, lakini yenye athari na madhara makubwa sana baadae kwenye ustawi na afya ya taasisi yao...

Sio kwa ubaya lakini, jitokezeni, wekeni sawa sintofahamu hii ya kisiasa bila kuchelewa, waondoeni mihemko, hofu na moyo wa kukata tamaa makamanda wa chadema kwa maslahi mapana ya chadema, na ustawi wa demokrasia Tanzania :BASED:
swali moja tu la msingi ningependa kuuliza; chadema si mnapokea ruzuku ya wale covid 19, ina maana chama hakina pesa kabisa kununua gari ya makamu mwenyekiti? ina maana tukichanga kununua tutaanza kuchanga na mafuta ya kutumia?

kwa tundulisu, ina maana kweli huna hela kununua gari?

shida ya upinzani Tanzania ni mtu anayeitwa MBOWE, huyu akiachia kiti, tunaweza kuwa na upinzani, shida mchaga hata aweje akionyeshwa hela tu mimate inamtoka anawaacha solemba. naongea kama mchaga.
 
Baraka za chama za nn tena??? Mbona Mimi CCM lakini nimemchangia
ubarikiwe sana kwa kujitoa kwako bila kujibakiza comrade....

sasa,
umechangia chama chake, au umemchangia binafsi alieomba achangiwe:NoGodNo:

umenisoma vizuri na kuelewa pia?
 
swali moja tu la msingi ningependa kuuliza; chadema si mnapokea ruzuku ya wale covid 19, ina maana chama hakina pesa kabisa kununua gari ya makamu mwenyekiti? ina maana tukichanga kununua tutaanza kuchanga na mafuta ya kutumia?

kwa tundulisu, ina maana kweli huna hela kununua gari?

shida ya upinzani Tanzania ni mtu anayeitwa MBOWE, huyu akiachia kiti, tunaweza kuwa na upinzani, shida mchaga hata aweje akionyeshwa hela tu mimate inamtoka anawaacha solemba. naongea kama mchaga.
comrade,
aya ya kwanza na ya pili, umeeleza vizuri, umetaka kujua mambo ya maana sana, ambayo hata wanachadema wengi wanagefurahi kuyafafamu na kuskia yakifafanuliwa na viongozi wao. tuvute subra, nina hakika katika muda usiokua mrefu watajitokeza watasema kitu.....

hiyo aya ya mwisho dah, sina maoni:pedroP:
 
Kama sio tungo zako binafsi leta nukuu za hao wanachadema waliohoji kuhusu michango ya gari
hiyo haina maana,
maoni na mtazamo wao ndio kitu cha msingi

nukuu itakusaidia nini kwa mfano gentleman,

serious political institutional haiwezi ignore hii kutu ispokua weak:pedroP:
 
Walimu walimchangia mwenyekiti wa ccm million 168 ,wakati fom ni million moja ,nyingine zikowap
 
CHADEMA kwa sasa ni kama wamesha changanyikiwa na hawaelewi wafanye nini. Maana kila mtu anajifanyia mambo yake kwa mwamvuli wa chama vile anavyojisikia Mwenyewe.
 
Back
Top Bottom