Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
yes,Umeandika..Wapo wanao hoji kwamba, hivi ni kweli makamu mwenyekiti aliomba gari kamati kuu wakashindwa kumpatia, na kumshauri atumie njia ya kuomba achabgiw
wapate ufafanuzi tu kama hakuna sio tabu pia 🐒
ni miongni mwa maswali muhimu sana wanachadema wengi kwanza wanajiuliza, lakini pili wanahoji ili kupata ufafanuzi na kuondoa mkanganyiko na sintofahamu iliyopo miongni mwao juu ya jambo husika 🐒