KERO Gari la taka ni changamoto siku ya tano leo

KERO Gari la taka ni changamoto siku ya tano leo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kumekuwa na kero kubwa katika mitaa ya Ubungo NHC, halmashauri imeshindwa kuleta gari la taka kwa wakati Leo ni siku ya 5 taka zipo na hakuna juhudi zozote na maeneo taka yalipo ni karibu na makazi ya watu, tunaomba halmashauri ifanyie haraka hii maana kipindupindu bado hakijatuacha

IMG-20240530-WA0030.jpg
 
Weka risit ya malipo hapa ya mwezi March na April.
 
Back
Top Bottom