amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
Really 😎Hata mie najiuliza Fire extinguisher za nini maofisini, hata majumbani etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really 😎Hata mie najiuliza Fire extinguisher za nini maofisini, hata majumbani etc
Sio kweli. Hilo liko chini ya Utaratibu.Haiwezekani askari wakajimobilise, wakavaa uniforms na kuchukua gari la kazi na vifaa vya Serikali bila wakubwa kujua ni nini kinaendelea. Hilo dili au janja-janja litawahusu wengi na sio rahisi wote wakakubaliana na kamchezo hako.Trick ya kwenda kuangalia mpira bure, hakuna kitu hapo, mbona kikiwa ba mkutano wa injili hapo uwanjani huwa hawaendi? Hawa baada ya kuona Police wanaingia kwa kigezo cha kulinda usalama na wao wakaa wakabuni nnia ya kwenda kuangalia mpira ndio wakaja na hio staili
Lipo pale kwa ajili ya kuhifadhi maji ya kunywa kwa ajili ya mashabikiKwa kweli nimekuwa nashangazwa sana kuona gari la zimamoto hapa bongo kila wakati mechi zikiwa zinachezwa, sasa najiuliza la nn badala ya kuweka ambulance nadhani ni chombo husika.
Nasikia kuna timu iliwahi kususia mechi kisa hapakuwa na gari la kuzima moto. Tubadilike wabongo
Duhhh!!huko Jupiter kwenye viwanja vyenu hamuwekagi hayo magari???Kwa kweli nimekuwa nashangazwa sana kuona gari la zimamoto hapa bongo kila wakati mechi zikiwa zinachezwa, sasa najiuliza la nn badala ya kuweka ambulance nadhani ni chombo husika.
Nasikia kuna timu iliwahi kususia mechi kisa hapakuwa na gari la kuzima moto. Tubadilike wabongo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lipo pale kwa ajili ya kuhifadhi maji ya kunywa kwa ajili ya mashabiki
Simba wanawasha moto uwanjani, wakishindwa kuudhibiti ndio zimamoto wanahusikaKwa kweli nimekuwa nashangazwa sana kuona gari la zimamoto hapa bongo kila wakati mechi zikiwa zinachezwa, sasa najiuliza la nn badala ya kuweka ambulance nadhani ni chombo husika.
Nasikia kuna timu iliwahi kususia mechi kisa hapakuwa na gari la kuzima moto. Tubadilike wabongo
Huwa najiuliza, haya nagari kuwa na maji wakati wote kuna gharimu nini?Na si ajabu huwa hayana hata maji,yapo tu pale sababu ya kanuni inayotaka yawepo.
Lifanyike zoezi la utayari siku moja tuone maajabu ya Moses.
Uwanja una mfumo wa nishati ya umeme.. Na pengine generator nknk.. Likitokea tatizo la moto ndani ya uwanja (sio uwanjani) gari litafanya kazi yakeKwa kweli nimekuwa nashangazwa sana kuona gari la zimamoto hapa bongo kila wakati mechi zikiwa zinachezwa, sasa najiuliza la nn badala ya kuweka ambulance nadhani ni chombo husika.
Nasikia kuna timu iliwahi kususia mechi kisa hapakuwa na gari la kuzima moto. Tubadilike wabongo
Duu una nongwa.Afu ndo nyie hamkawii kusema wanawake wasomi ni feminist
Yaan mtu hata kazi ya zimamoto hajui akioa msomi akirekebishwa ataanza ooh mfeminist ooh sijui hivi😂😂😂😂😂😂