Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu,

Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!.

Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!.

Mtanisame nili staafu uandishi wa reporting hivyo sikuweza kuuliza lolote, ila by looking kwenye hiyo video, milango iko wazi ku signify waliokuwa kwenye gari wote wamesalimika.

Kuna zile standby gari za fire za private companies maeneo mbali mbali ikiwemo pale Mwenge, Morocco, Mbuyuni, huwa ni za nini?.

Uswazi kuna uzuri wake!
Pole wahanga!.
P
 
Msaada rahisi ni kutoka kwa wenye magari wengine, mara zote kwenye magari yetu tunakuwa na Fire Extinguisher, tuwe wepesi wa kusaidia wenzetu, Idara ya zimamoto haiwezi kucover eneo lote hivyo ni jukumu letu pia kutoa msaada kwa aina hiyo ya moto.

Ahsante.
 
Umesema umeona milango ipo wazi hivyo raia wote wametoka salama...

Sasa ulitaka raia waende kuokoa gari wakati huenda moto haujafika vizuri kwenye tanki la mafuta ili wakakaangwe ?!!!

Ushauri wa ajali kama hizi unasemaje ? kwahio anayetaka kwenda kuokoa hio motokaa aende kwa his/her own risk ila sidhani kama ni busara kutoa mwongozo watu kukimbilia chombo cha moto kikiwa kinaungua ukizingatia raia wameshatoka (jiulize is it worth the risk kuokoa hilo dubwasha) ?
 
Wanabodi
Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu,

Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!.

Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!.

Mtanisame nili staafu uandishi wa reporting hivyo sikuweza kuuliza lolote, ila by looking kwenye hiyo video, milango iko wazi ku signify waliokuwa kwenye gari wote wamesalimika.

Kuna zile standby gari za fire za private companies maeneo mbali mbali ikiwemo pale Mwenge, Morocco, Mbuyuni, huwa ni za nini?.

Uswazi kuna uzuri wake!
Pole wahanga!.
P

Hapo ni lami mwanzo mwisho, mchamga unatoa wapi
 
Gari linawaka moto wapita njia wakalizime kwa kutumia nini. Tuliwahi wakiwa moto Hicher tena hapo lilifuka moshi hapohapo tukatoka na kuanza kuzima. Maji yalikuwa karibu sana, zilimwaga ndoo kibao moto hata haujaribu kuzimika. Akaja mwenye fire extinguisher akapulizia foam dakika haikufika moto ukazima
 
Back
Top Bottom