Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

Yaani waache kulinda Buyu la Asali😀 moto kila siku wahangaike.
πŸ€­πŸš’πŸš’πŸš’

Tuendelee kutoa Pongezi.
Kazi ziendelee
 
Nimeona walikuja jamaa wa kununua vyuma chakavu wakawa wanapigiana hesabu ya kwenda kupima. Sijui walipata afungapi
 
Kwa hiyo wanalipiga kiberiti wakiwa humohumo ndani?

Ndio anaenda mbali (anajifanya alikuwa na safari ndefu ) anatafuta sehemu ambayo anajua hakuna msaada wa haraka anawasha alafu anatoka hukua anavhukua video labisa.
Kuna gari moja lilikiwa saa kumi na moja alfajiri pale kituoni stop over gari alipaki kabisa alafu moto sasa unawaka yeye anachukua video huku boda boda waliokuwa wanamsaidia kuzima jamaa akawa anazuia wasizime hadi ilikuwa kama ugomvi fulani mi nilipaki gari nataka kutoa fire extuingisher kutoa msaada nilipoona ivyo niliweka kwenye boot gia safari
 
Nissan Dualis/QashQai za mkononi huenda zikaporomoka soko sababu ya hizi ajali kuripotiwa mara kadhaa.

Haya ma-fire extinguisher kwenye magari binafsi mengi yame-expire.
 
Ila joto ni kali sana jijini Darslama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…