Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina usajili T... ngapi? A,B, C!! Ni manual, au auto? Vipi kwenye wese?😃😃😃Chuma bado hilii
Haraka sana kagombanieni Mjerumani kwa bei ya Kahawa.Jf mimi na genta ndio hatuna magari
Haraka sana kagombanieni Mjerumani kwa bei ya Kahawa.View attachment 2463811
Dah! [emoji16][emoji16]Zinachowafanya hizi gari huwa ni siri yao[emoji23]
Juzi kuna mtu alikuwa anavunja Tuareg na IST namba D
Last time way back 2010 tulitumia almost laki 4 lakini ilikuwa VXKwa experience yako service yake inaweza gharimu how much approximately
Iko wapi hiiHaraka sana kagombanieni Mjerumani kwa bei ya Kahawa.View attachment 2463811
Ukilikosea masharti lazima ulikimbieZinachowafanya hizi gari huwa ni siri yao[emoji23]
Juzi kuna mtu alikuwa anavunja Tuareg na IST namba D
Nimeona tangazo kwa Sossy, sijajua ki undani mkuu.Iko wapi hii
Uzaji alimuotea mtoa mada akamvesha mkangafu. Tiba yake hapo ukute ni kuvua gearbox ambayo sio chini ya 2MSija jua uli bahatisha muuzaji mwenye njaa au jamaa ndo ali kubahatisha wewe[emoji81][emoji81][emoji81]
Sasa gari namba A hio bei si ya kawaida sanaWese kawaida diesel engine ni 3l, usajili ni A boss, gear ni manual
Komaa nayo mzee, ukiiweka sawa hio prado ni gari kweli yani.Mkangafu🤣🤣 nimeambiwa shida ni plate ya gear box ambayo haifiki ata laki 8 ngoja nitacheza nayo
Kweli mzee hio unaipimp inakuwa kitu ingine.Haikua Leo boss toka 2019 bei ni mchuzi hio ukicompare na Chuma lenyewe
Dah! Mashine itakuwa tamu sana hiyo.Wese kawaida diesel engine ni 3l, usajili ni A boss, gear ni manual