Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah awafanyizie wepesi na nyie mwakani mpate kumiliki inshallah [emoji120]Jf mimi na genta ndio hatuna magari
Napokea japokua haikua dua yanguAllah awafanyizie wepesi na nyie mwakani mpate kumiliki inshallah [emoji120]
Kila la kheri kiongozi. Ila magari ya umri huo ukiziba hapa, panavuja pale.Mkangafu🤣🤣 nimeambiwa shida ni plate ya gear box ambayo haifiki ata laki 8 ngoja nitacheza nayo
Engine itakuwaje 3L halafu turbo? Itakuwa ilibadilishwa. Original engine kwa gari hiyo ni 2L-TE ambayo kwa maoni yangu sio nzuri. Alifanya vyema kufanya engine swap.Wese kawaida diesel engine ni 3l, usajili ni A boss, gear ni manual
Zinachowafanya hizi gari huwa ni siri yao[emoji23]
Juzi kuna mtu alikuwa anavunja Tuareg na IST namba D
Komaa nayo mzee, ukiiweka sawa hio prado ni gari kweli yani.
Weka tu milioni tuwili mfukoni. Ukiweza kupata fundi mwenye njaa Kama huyo aliyekuuzia hata laki tano itatosha.Kwa experience yako service yake inaweza gharimu how much approximately
Ban imeisha mkuu. Karibu tenaMda mwingi nipo off-road 4×4
Vipi mkuu marks bado ipo? NaitakaKuna mark 2 ya laki nane njoo pm😃