Gari lililobeba mzigo upi unapenda lipate ajali karibu na nyumbani kwenu?

Tamaa mbele mauti nyuma!

Unakufa kwa ajili ya petroli ya buku mbili!

Bure kabisa hawa watanganyika!
 
Gari la kondomu aiseeh!
Nitahakikisha nashughulikia kijiji kizima
 
Labda nimeelewa tofauti na ulivyomaanisha.
Jitahidi unapoandika comment ieleweke vzr na watu wengi badala ya kuielewa peke yako.
Ukiweza kufanya hvyo utakuwa mtaalam mzuri wa lugha.


Ww ndo umeidifine tofauti..kwan heading inasemaje??ukiielewa heading na mm utanielewa
 
Tuliwahi kupata ajali nje ya Mto wa Mbu(Arusha) niliumia sana mguu.wasamalia wema wakatusaidia na kuisafisha gari yote mpaka vioo vya madirisha..
Mnao ishi pembezoni mwa barabara ajali ikitokea mnatuibia dua zetu Mungu uzipokea jifunzeni na msijisahau....
Msavu Msavu poleni sana..
 
Ww ndo umeidifine tofauti..kwan heading inasemaje??ukiielewa heading na mm utanielewa
Heading inasema "gari lililobeba mzigo upi unapenda lipate ajali"
Lakini Wasomali sio mzigo,hapo ndio utata unapoanzia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
 
Heading inasema "gari lililobeba mzigo upi unapenda lipate ajali"
Lakini Wasomali sio mzigo,hapo ndio utata unapoanzia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
mkuu labda anamaanisha anataka aopoe mwanaume wa kisomali ili ampe hifadhi moyoni mwake
 

Gari la maji taka.Hakuna mtu kusogelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…