Gari lililotumiwa na watu wengi halifai kwa matumizi

Gari lililotumiwa na watu wengi halifai kwa matumizi

Tanzania Nchi Yetu Sote

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
505
Reaction score
872
1669185581860.png

Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwa matumizi, maana kila utakapopita nalo, basi ni lazima tuu utakutana na watu wanaojitapa kulijua vizuri kwa sababu walipata kulitumia.

Wapo watakaoelezea namna walivyokuwa wakiliburuza kwa mwendokasi, wengine wakijinasifu kwa mitindo mbalimbali ya uendeshaji waliokuwa wakitumia, nk.

Kwakifupi ni hivi, idadi ya wamiliki wa gari ikiwa kubwa, basi hufanya hata THAMANI yake kupungua, lakini pia hufanya uwezekano wa gari hilo kutodumu barabarani kwa muda mrefu.

Sasa basi, kwa nyie mnaojipanga kununua magari, inashauriwa kwamba ikiwa utakosa gari mpya, basi walau uchague ambalo halijamilikiwa na watumiaji wengi.

Credit 👉 maundumwingizi
✍️By Abdulatif Mohamed Kiyota
 
View attachment 2424787
Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwa matumizi, maana kila utakapopita nalo, basi ni lazima tuu utakutana na watu wanaojitapa kulijua vizuri kwa sababu walipata kulitumia.

Wapo watakaoelezea namna walivyokuwa wakiliburuza kwa mwendokasi, wengine wakijinasifu kwa mitindo mbalimbali ya uendeshaji waliokuwa wakitumia, nk.

Kwakifupi ni hivi, idadi ya wamiliki wa gari ikiwa kubwa, basi hufanya hata THAMANI yake kupungua, lakini pia hufanya uwezekano wa gari hilo kutodumu barabarani kwa muda mrefu.

Sasa basi, kwa nyie mnaojipanga kununua magari, inashauriwa kwamba ikiwa utakosa gari mpya, basi walau uchague ambalo halijamilikiwa na watumiaji wengi.

Credit [emoji117] maundumwingizi
[emoji3578]By Abdulatif Mohamed Kiyota
Inategemea na aina ya gar mkuu
 
Kwakifupi ni hivi, idadi ya wamiliki wa gari ikiwa kubwa, basi hufanya hata THAMANI yake kupungua, lakini pia hufanya uwezekano wa gari hilo kutodumu barabarani kwa muda mrefu.
Ukiachia mbali wamiliki kuna wale tunaazimaga tena sisi ndio hatujuagi thamani ya gani nikupita njia za vumbi tena kwa spidi ya kufa mtu na kabla hutujalirudisha kwa mwenyewe tunawapa na washkaji wapige misele.

Nadhani nimeelewaka 😎😎
 
Ukiachia mbali wamiliki kuna wale tunaazimaga tena sisi ndio hatujuagi thamani ya gani nikupita njia za vumbi tena kwa spidi ya kufa mtu na kabla hutujalirudisha kwa mwenyewe tunawapa na washkaji wapige misele.

Nadhani nimeelewaka 😎😎
hahahahaha a great thinker EINSTEIN112 Htr sana kaka inaelekea njia hizo ni mtumiaji mzuri sabab una kwepa trafki barabara kuu
 
Inawezekana watumiaji wengine walilinunua kwa ajili ya show off sio kufanya kazi

Huwa tunaangalia injini body nyingi za kuchongwa mjini

kuna DCM tangu mwaka 1998 ipo inapiga kazi
DCM ya 1998 au sio!?
 
View attachment 2424787
Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwa matumizi, maana kila utakapopita nalo, basi ni lazima tuu utakutana na watu wanaojitapa kulijua vizuri kwa sababu walipata kulitumia.

Wapo watakaoelezea namna walivyokuwa wakiliburuza kwa mwendokasi, wengine wakijinasifu kwa mitindo mbalimbali ya uendeshaji waliokuwa wakitumia, nk.

Kwakifupi ni hivi, idadi ya wamiliki wa gari ikiwa kubwa, basi hufanya hata THAMANI yake kupungua, lakini pia hufanya uwezekano wa gari hilo kutodumu barabarani kwa muda mrefu.

Sasa basi, kwa nyie mnaojipanga kununua magari, inashauriwa kwamba ikiwa utakosa gari mpya, basi walau uchague ambalo halijamilikiwa na watumiaji wengi.

Credit [emoji117] maundumwingizi
[emoji3578]By Abdulatif Mohamed Kiyota
Utajuaje wakati haina gauge ya kusoma kilomita???
 
View attachment 2424787
Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwa matumizi, maana kila utakapopita nalo, basi ni lazima tuu utakutana na watu wanaojitapa kulijua vizuri kwa sababu walipata kulitumia.

Wapo watakaoelezea namna walivyokuwa wakiliburuza kwa mwendokasi, wengine wakijinasifu kwa mitindo mbalimbali ya uendeshaji waliokuwa wakitumia, nk.

Kwakifupi ni hivi, idadi ya wamiliki wa gari ikiwa kubwa, basi hufanya hata THAMANI yake kupungua, lakini pia hufanya uwezekano wa gari hilo kutodumu barabarani kwa muda mrefu.

Sasa basi, kwa nyie mnaojipanga kununua magari, inashauriwa kwamba ikiwa utakosa gari mpya, basi walau uchague ambalo halijamilikiwa na watumiaji wengi.

Credit 👉 maundumwingizi
✍️By Abdulatif Mohamed Kiyota
Gari ni gari tu.
Em ukishalipata hilo chakavu likogeshe lipige msasa haswaaa.

Mhh hao wote walosema wanalijua hadi mlio linaotoa likiwa halina mafuta hawatafungua midomo yao gari si limekoshwa likakoshwa tena.

Lkn jaribu kulifuja gari mhhhhh basi watasema na usiku hawatalala.
 
Third hand kutoka kwangu itawafaa sana maana ni mpimaji mzuri wa oil,service kwa wakati pia siipitishi rough road
 
Sasa tupo namba E 😅😅😅😅

Napenda sana ma v8 au v6 yana-deal na mafuta hasa, na matairi yake ni manene yanashika barabara haswa...

Ila kuwa makini ukilikimbiza sana rejeta zinavuja maji ya harufu kama usafi ni haba...
 
Principle ni ile ile..too much circulation in the market drops the price down
 
Unaweza kukuta body zuri lakini ukichungulia GEAR BOX unakuta tambala kibao zimeoachikana
 
Back
Top Bottom