Sisa Og
JF-Expert Member
- Apr 18, 2024
- 201
- 504
👊Ajari❌
Ajali☑️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👊Ajari❌
Ajali☑️
Sawa tajiriKauli za maskini hizi
zipo dawa, ila ikiisha nguvu hata dada poa atakukataaHamnaga kafara ya kusaidia mtu awe ana kula mbususu za pisi kali bure bure?
sehemu za bahari ni kwamba inatakiwa uwe mita 60 hadi 90 ,inabidi pia waweke sheria za barabarani nyumba/fremu inatakiwa iwe mita 30 kutoka kwenye barabara.
Poa tuu muhimu angalau dawa ifanye kazi miaka 3 nienjoy vizurizipo dawa, ila ikiisha nguvu hata dada poa atakukataa
Hili jiji limejaaa maframe banasehemu za bahari ni kwamba inatakiwa uwe mita 60 hadi 90 ,inabidi pia waweke sheria za barabarani nyumba/fremu inatakiwa iwe mita 30 kutoka kwenye barabara.
Basi wakiparamiwa hadi kupoteza uhai wasilalamikeSheria ya mita kadhaa toka katikati ya barabara ipo, huenda serikali ina hofu ya kupitisha bomoa bomoa kwa "wapiga kura"...
Watu hawasikii hilo huku Porini kuna bikon kabisa zinasema Mwisho wa Hifadhi ya Barabara watu wamevuka bikon wanajenga mabanda yao ndani ya bikon yaan mtu inabidi atoke mita zisizopungua 30 kutoka ile bikoni ila hilo watu hawataki wanataka wakae barabarani sio mbali na barabara, na muda fulani ajari ni ajari ajari haina macho inaweza ikakukuta popote tu kikubwa umakini unahitajikasehemu za bahari ni kwamba inatakiwa uwe mita 60 hadi 90 ,inabidi pia waweke sheria za barabarani nyumba/fremu inatakiwa iwe mita 30 kutoka kwenye barabara.
Watu wabishiWatu hawasikii hilo huku Porini kuna bikon kabisa zinasema Mwisho wa Hifadhi ya Barabara watu wamevuka bikon wanajenga mabanda yao ndani ya bikon yaan mtu inabidi atoke mita zisizopungua 30 kutoka ile bikoni ila hilo watu hawataki wanataka wakae barabarani sio mbali na barabara, na muda fulani ajari ni ajari ajari haina macho inaweza ikakukuta popote tu kikubwa umakini unahitajika
Uzembe tu wa nchi hii. Huyu amepita kijazi interchange kwa mwendo kasi likamshinda . Ilitakiwa iwe marufuku kwa malori kupita juuu ya daraja.sehemu za bahari ni kwamba inatakiwa uwe mita 60 hadi 90 ,inabidi pia waweke sheria za barabarani nyumba/fremu inatakiwa iwe mita 30 kutoka kwenye barabara.
Hakuna kikao chochote ambacho kilikaliwa au uhusiano wowote kati ya jina na kitu kinachowakilisha jina hilo.Hivi kwanini zinaitwa Fremu? Hili jina linanitatiza sana.
hv ule ujenzi wa ring road ilikuwaje tena, si haya mavyuma yagehamishiwa yapite huko,....Gari lenye namba za usajili T405 DPJ limeacha njia na kuparamia fremu za maduka na mabucha ya samaki eneo la Ubungo Riverside Jijini Dar es salaam asubuhi leo December 02,2024.
Hadi sasa majeruhi wanne waliokuwa ndani ya fremu hizo wametolewa na jitihada za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Wananchi kuwaokoa Watu wengine walio ndani ya fremu zinaendelea.