Gari limeacha njia na kuparamia fremu za maduka Ubungo Riverside

Gari limeacha njia na kuparamia fremu za maduka Ubungo Riverside

bora imetokea asubuhi,vp kama hiyo ajali ingetokea jioni au usiku ni maafa kiasi gani yangekuwa..barabara nyingi mjini zimegeuzwa eneo la biashara mida ya jioni mm najiuliza sana kwa jinsi wanavyojipanga vile ikitokea gari kufeli breki au kuhama njia..japo kweli riziki ngumu ila kujihami kwa taadhari pia muhimu
Pale kimara, ni hatari kabisa.
 
Sheria ya mita kadhaa toka katikati ya barabara ipo, huenda serikali ina hofu ya kupitisha bomoa bomoa kwa "wapiga kura"...

Hapo ndipo serikali inafeli ,watekeleze hizo sheria ili kulinda maisha na mali za raia.

Mimi nyumba zilizo kando ya barabara huwa sipendi hata kukaa maana lolote linaweza kutokea.
 
Back
Top Bottom