Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba tuone lako?
O9.ko.mo.ikz.!8.im9?.?9kkkw.s?9lkokmo??ok99999?o?9?9?om?.9??inMlioko Dar mmetikisika kweli? Au uongo
Kwakweli wazazi wake wapewe pole, mtu kama huyu kuliwa dakika sifuri kwa kushobokea vitu vya watuWewe ni me ? Nawapa Pole wazazi wako !
Kwa nini mkuu? Hivi nje ya mada yule Abdul Nondo alishapatikana?Lisu atashinda mapema
Yawa kivutio kwa wapiga pichaNdinga jipya la msanii Billnass (Land Rover Defender) limezidi kuwa kivutio kwenye mitaa mbalimbali Jijini Dar es salaam,mapema leo hii alionekana nalo mitaa ya TAZARA na kuvutia wengi hususani mashabiki wake.
View attachment 3197653
Acha ushamba basi.Hivi hizi gari zinanunuliwa au ni zile za kuibwa SA?
- Utaratibu wa kuendesha na number plate za nchi nyingine ukoje? Kama vile za ZNZ?
Duuh kumbe na ww huwa ni poyoyo level hii...Mbona halina Usajili wa Tanzania?
Probably limekodishwa ili Vijana wapate ku-trend tu Mjini
Kama ni lake kweli, apewe hongera zake lakini iwe chachu Kwa Vijana wengine kuongeza bidii za utafutaji