Gari mpya ya Billnass aina ya Defender yatikisa jiji la Dar Es Salaam mchana kweupe!

Gari mpya ya Billnass aina ya Defender yatikisa jiji la Dar Es Salaam mchana kweupe!

Sema hii foleni ya TAZARA na Mandela road kwa ujumla inachelewesha maendeleo ya watu wengi. Badala ya kumsifia tu huyo mama yenu, mwambieni afanye jambo hapo.
 
Gp ~gauteng province

Hivi kwanini wasanii wengi wanapenda kutumia plate number za south Africa ??
Ku-personalize huko ni cheap sana kuliko Tanzania. Kwa ilo jimbo, ni kama Rand 100 tu.

Kwahiyo izo gari bado hazijasajiliwa Tanzania, ni za SA.

Wanachofanya wanaileta TZ wanaikatia kibali cha ata miezi 6 Tanzania wauzie sura.
 
Kwakweli wazazi wake wapewe pole, mtu kama huyu kuliwa dakika sifuri kwa kushobokea vitu vya watu

Yaani unakuja kwenye jukwaa la CELEBRITIES ambalo tunazungumzia vimbwanga vya mastaa na watu maarufu alafu unashangaa, sisi kuzungumzia mastaa.

Ulikuja kufanya nini humu? Si ungeenda Jamii Intelligence huko.

You are either retarded or senile human being or a combination of both.
 
Ndinga jipya la msanii Billnass (Land Rover Defender) limezidi kuwa kivutio kwenye mitaa mbalimbali Jijini Dar es salaam,mapema leo hii alionekana nalo mitaa ya TAZARA na kuvutia wengi hususani mashabiki wake.


View attachment 3197653
Sasa Land Rover discovery toleo jipya,inatikisa vipi jiji la Dar! "Wanaume wa dar" Mbona uchawa umezidi! Gari ya kawaida sana hiyo, ingekuwa hummer, Chevrolet, GMC, bland new! Si mngetembea dar nzima huku........ Yakiwa nje!!!!
 
Unasifia mali za dume jenzio utaolewa mseng**

Lione kama jinga 😂

Sasa si umalizie tu hilo tusi kama we kweli mwanaume?

Mwanaume gani unaogopa mods unamung'unya matusi.

Kama unatukana tukana. Haya nasubiri umalizie tusi lako
 
Sasa Land Rover discovery toleo jipya,inatikisa vipi jiji la Dar! "Wanaume wa dar" Mbona uchawa umezidi! Gari ya kawaida sana hiyo, ingekuwa hummer, Chevrolet, GMC, bland new! Si mngetembea dar nzima huku........ Yakiwa nje!!!!

Kwa comment hii nna uhakika kabisa hiyo Land Rover Discovery HUNA na ushakata tamaa kama utaweza kuwa nayo.

Mbona mko bitter sana?
 
Ila binadamu sisi!! Mtu akisifia mafanikio ya mwingine taabu, akiyaponda napo taabu!! Mnataka nini? Si mumsifie tu mwanaume mwenzenu kaweza!! Oooh mara South ni cheap, wewe lako expensive liko wapi? Au South hupajui!!
 
Ila binadamu sisi!! Mtu akisifia mafanikio ya mwingine taabu, akiyaponda napo taabu!! Mnataka nini? Si mumsifie tu mwanaume mwenzenu kaweza!! Oooh mara South ni cheap, wewe lako expensive liko wapi? Au South hupajui!!

People are projecting their hate on everything they cant afford.

People are so bitter.
 
Back
Top Bottom