Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

belak

Senior Member
Joined
Jul 23, 2016
Posts
179
Reaction score
377
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, nishtue nione jinsi ya kukusaidia.
 
Lipia tu hizo Bongo used zinauzwa kuanzia Mil 30-40. By the way ulipaswa kujua makadirio ya kodi hata kabla hujanunua hiyo gari mana TRA wana calculator yao inayokuonesha kiasi cha kodi. Zamani serikali ilikua inapoteza sana mapato kwa kukokotoa kodi kutoka kwenye Invoice ya gari hadi walipoanza kutumia fixed rate za magari.
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Sera tuliyonayo dhidi ya wananchi ni pasua kichwa .
Mpakani cement ya Kenya ni 16,000/= Lakini ole wako uitumie !! Unatakiwa ununue ya Tz 21,000/=.

Huwa najiuliza ni lini watu wote watachukuliwa kama wakulima wa korosho ?!. Kama mwingine anahangaika na mahindi mwaka mzima, leo wa korosho na jeshi lisaidie 😳 😀
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu

Sidhani.

Tupe details za gari tuangalie kwenye TRA calculator kama kodi ya Toyota Hilux ya mwaka 1980, (4.5M TSH/$2,000 ) ni milioni 18
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, mishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Nimekusoma kaka ndo ishapanda meli mzee
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, mishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Nadhani nimuhimu nitakuona ngoja nimalizane na logistics za awali nikikwama nikuchek kaka maana unaweza uza nyumba kulipa kodi ya gari
 
Back
Top Bottom