Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Nimekumbuka mwaka jana kuna Mrus mmoja aliniambia atanipa zawadi ya gari VW mpya yeye ataisafiri mm nitafute hela nikaitoe tu bandarini ikifika, nikamwambia anitumie aina ya gari na specification za gari alipo nitumia nikaangalia kwenye calculator ya TRA duh, iliniletea kiasi cha shilingi Milion 98...... Wakati mfukoni na laki 6 tu na sina mpango wa kupata hela,

Gari ya mwaka gani?gari used ndio zina ushuru mkubwa zaidi mkuu
 
Sera tuliyonayo dhidi ya wananchi ni pasua kichwa .
Mpakani cement ya Kenya ni 16,000/= Lakini ole wako uitumie !! Unatakiwa ununue ya Tz 21,000/=.

Huwa najiuliza ni lini watu wote watachukuliwa kama wakulima wa korosho ?!. Kama mwingine anahangaika na mahindi mwaka mzima, leo wa korosho na jeshi lisaidie 😳 😀
Kodi kwetu ni tools factor za kucontrol watu lengo la kutoza kodi kubwa ili kuwafanya wengi wawe masikini ili iwe rahisi kuwatawala
 
Ushauri: kama Gari lipo kwenye meli, na meli umefika bandarini lishushe litumbukize kwenye maji kesi imeishaa! Usengee huu 4.5 mpaka almost 5 times??
True kuliko kuwaachia wapige mnada heri nimpe mwenye meli akalitupe baharini.
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
aina gani ya gari
 
Nimekumbuka mwaka jana kuna Mrus mmoja aliniambia atanipa zawadi ya gari VW mpya yeye ataisafiri mm nitafute hela nikaitoe tu bandarini ikifika, nikamwambia anitumie aina ya gari na specification za gari alipo nitumia nikaangalia kwenye calculator ya TRA duh, iliniletea kiasi cha shilingi Milion 98...... Wakati mfukoni na laki 6 tu na sina mpango wa kupata hela,
VW mpyaaaa halafu ushuru wake milioni98
Aisee
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, nishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Acha kudanganya mwenzio. Kubali cha kuingiza hari na kukaa nalo miezi 3 kinatolewa kwa mtu asie raia. Kama kuna mtamzania unamjua alipewa kibali hicho alipewa kwa rushwa. Halafu calculator ni kwa magari yote hata yanayopita mipakani.
Ila siamini toyota hilux linaweza.kununuliwa kwa 4.5.
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
Pole
 
Hivi na ukinunua gari jipya unalipa hela nyingi au? Ile Calculator ya TRA imeandikwa tu Used.... sijaona ya New.
 
Hiyo hata mimi ilinitokea litembelea nchi flani hivi nikakutana na gari ya bwerere. Ile kuuliza ushuru ukaja mara tatu zaidi ya bei nliyo ambiwa. Hapo nkakumbuka ule usemi usemao UKIONA MTU MZIMA ANALIA UJUE KUNA JAMBO.
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
Ulikuwa unaishi huko?Limesajiliwa kwa jina lako huko?Kama ni hivyo kuna namna ya kuingiza gari bila stress
 
Acha kudanganya mwenzio. Kubali cha kuingiza hari na kukaa nalo miezi 3 kinatolewa kwa mtu asie raia. Kama kuna mtamzania unamjua alipewa kibali hicho alipewa kwa rushwa. Halafu calculator ni kwa magari yote hata yanayopita mipakani.
Ila siamini toyota hilux linaweza.kununuliwa kwa 4.5.
kununua kwa mtu ni maelewano yao....
 
Hiyo bei si ya calculator ya TRA?, subiria mengine kama ukaguzi na vilivyomo ndani yake ndio utajua Toyota Hilux sio pikipiki na TRA sio ndugu zako kabisa.
Sasa hivi kuagiza kitu nje ujipange kwanza na yataka moyo wa chuma
Ukaguzi wa vilivyomo ndani kama nini mkuu?hebu tuweke wazi.
Mi najia ukishapiga hesabu kwenye hiyo calculator ya kaizari umemeliza,kwani kuna kuwa na gharama nyingine za ziada?
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, nishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Kwahiyo kwa njia ya barabara ushuru wake ni tofauti na uliopo kwenye calculator ya TRA?
 
Back
Top Bottom